Quotessence
Home / Topics / Afrika Quotes

Afrika Quotes

Browse 26 quotes about Afrika.

Afrika Quotes

“Kolonia Santita ilikuwa na tani 627.54 za madawa ya kulevya ilizokuwa imezikusanya kwa siri kwa muda wa miezi 9 mfululizo. Ilikuwa imepanga kuzisafirisha ndani ya siku 10 baada ya kutokea kwa mauaji ya Tijuana-San Diego, katika mpaka wa Meksiko na Marekani; kwenda Asia, Afrika, Amerika, Ulaya na Australia, kabla ya kukamatwa na Mamlaka ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya na Ugaidi wa Kimataifa Duniani WODEA. Kokeini tani 183, heroini tani 90, methamfetamini tani 81, eksitasi tani 27.54 (vidonge milioni 110.16). Bangi tani 186, uyoga wa kichawi tani 60. Madawa hayo yalikuwa na thamani ya mtaani ya shilingi za Kitanzania trilioni 12.9.”

“Kiswahili ni lugha rasmi ya nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Ni lugha isiyo rasmi ya nchi za Rwanda, Burundi, Msumbiji na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Lugha ya Kiswahili ni mali ya nchi za Afrika ya Mashariki, si mali ya nchi za Afrika Mashariki peke yake. Pia, Kiswahili ni lugha rasmi ya Umoja wa Afrika; pamoja na Kiarabu, Kiingereza, Kifaransa, Kireno na Kihispania. Kiswahili ni lugha inayozungumzwa zaidi nchini Tanzania kuliko nchi nyingine yoyote ile, duniani.”

“Kiswahili ni lugha ya Kibantu na lugha kuu ya kimataifa ya biashara ya Afrika ya Mashariki ambayo; maneno yake mengi yamepokewa kutoka katika lugha za Kiarabu, Kireno, Kiingereza, Kihindi, Kijerumani na Kifaransa, kutoka kwa wakoloni waliyoitawala pwani ya Afrika ya Mashariki katika kipindi cha karne tano zilizopita. Lugha ya Kiswahili ilitokana na lugha za Kisabaki za Afrika Mashariki; ambazo nazo zilitokana na Lugha za Kibantu za Pwani ya Kaskazini Mashariki za Tanzania na Kenya, zilizotokana na lugha zaidi ya 500 za Kibantu za Afrika ya Kusini na Kati. Lugha za Kibantu zilitokana na lugha za Kibantoidi, ambazo ni lugha zenye asili ya Kibantu za kusini mwa eneo la Wabantu, zilizotokana na jamii ya lugha za Kikongo na Kibenue – tawi kubwa kuliko yote ya familia ya lugha za Kikongo na Kinijeri katika bara la Afrika. Familia ya lugha za Kikongo na Kibenue ilitokana na jamii ya lugha za Kiatlantiki na Kikongo; zilizotokana na familia ya lugha za Kikongo na Kinijeri, ambayo ni familia kubwa ya lugha kuliko zote duniani kwa maana ya lugha za kikabila. Familia ya lugha ya Kiswahili imekuwepo kwa karne nyingi. Tujifunze kuzipenda na kuzitetea lugha zetu kwa faida ya vizazi vijavyo.”

“Nergens zijn er aan de Evenaar onder Leopold II, of zijn Belgische opvolgers na 1908, volkerenslachtingen geweest à la de zieke heersers Hitler, Stalin of Pol Pot. Wel hebben Lucas Catherine, Jules Marchal en Daniel Groenweghe het bestrijden van het imperialisme — of het wegschrijven van hun ontgoochelingen in Afrika — gezien als de overtreffende trap van het antikapitalisme. En auteurs als Mark Twain, Arthur Conan Doyle en Hugo Claus hebben met een bloeiende verbeelding en de insteek van Don Quichote, een potpourri gemaakt van Congo Vrijstaat en zijn stichter.”

“Usiwe na wasiwasi, Peter. Hizo ni hisia zangu tu. Huwezi kuwa mpelelezi. Lakini, kusema ule ukweli, ningependa sana kuonana na John Murphy. Kuna kazi binafsi ningependa kumpa. Wewe unatoka Afrika, hujawahi kumwona?” Debbie alizidi kumshtua Murphy. “Nani?” Murphy aliuliza huku akitabasamu. “John Murphy wa Afrika.” “Sijawahi kumwona. Mbona unamuulizia hivyo?” Debbie alitulia. Kisha akarusha nywele ili aone vizuri. “Nampenda sana!” “Kwa nini?” “Simpendi kwa mahaba, lakini.” “Ndiyo. Kwa nini?” “OK. Nampenda kwa kipaji chake. Alichopewa na Mungu, cha ujasusi. Kusaidia watu.” “Ahaa!” Murphy alidakia, sasa akifikiri sana. “Murphy ana mashabiki wengi hapa Meksiko bila yeye mwenyewe kujua, kwa sababu ya kupambana na wahalifu wa madawa ya kulevya – hasa wa huku Latino. Tatizo lake haonekani. Wengi hudhani ni hadithi tu, kwamba hakuna mtu kama huyo hapa duniani.” “Hapana! Murphy yupo! Ni mfanyabiashara maarufu huko Tanzania. Lakini ndiyo hivyo kama unavyosema ... Haonekani!”

“Afrika isomeshe watu wake, na itumie vizuri mapato yanayotokana na mauzo ya rasilimali zake kwa faida ya jumla ya wananchi wa nchi zake, kusudi baadaye wawe wataalamu wa rasilimali za nchi zao wenyewe, kuepukana na utumwa wa rasilimali. Rasilimali za Afrika zina miiko na masharti yake.”

“Die Europäer sind nicht zu Sklavenhändlern geworden, weil sie Rassisten waren. Andersherum wird ein Schuh draus. Sie wurden Rassisten um Menschen für ihren eigenen Profit versklaven zu können. Sie brauchten eine ideologische Untermauerung, eine moralische Legitimierung ihrer weltweiten Plünderungsindustrie.”

“Oud manager Heineken: 'Ik kan je vanuit de grond van mijn hart zeggen dat we bij Heineken zaken willen verbeteren en positief willen bijdragen aan de samenlevingen waar we opereren. We proberen ons aan alle regels te houden, hoe moeilijk dat ook is. Het steekt me dat dat onderuit wordt gehaald met opmerkingen dat alles voor ons marketing en commercie is. Het is heel lastig om een eiland van perfectie te zijn in een zee van ellende, maar twijfel niet aan de oprechtheid.' Heineken als eiland van perfectie. En Afrika? Het continent waar Heineken sinds meer dan een eeuw vele miljarden heeft verdiend? 'Een zee van ellende.' Maar twijfel niet aan de goede bedoelingen.”

“Wat betreft de wederopbouw, en het langzaam weer opbouwen van het land, dat is waar we nu midden in zitten, ik denk niet dat we ons kunnen voorstellen wat de slavernij de mensen hier heeft aangedaan, dat gaat heel diep, deze dingen duren heel lang door, zelfs het zich afzetten tegen het kolonialisme heeft daar sporen van. Hier was het vrij laat, 1830, maar een beetje verder naar het Westen, duurde de slavernij 3 tot 4 eeuwen, 40 tot 60 miljoen mensen is geraamd, werden verplaatst van hier, naar Amerika, dat is geen kleinigheid he, Je zou zeggen dat is een Afrikaanse holocaust. (Dr. H Hinfelaar, witte Paters)”

“Lavigerie was een geweldig praktisch man, en ook was hij historicus aan de Sorbonne in Frankrijk, waar hij die visie had om het binnenland van Afrika te reconstrueren, zoals dat in Europa in de Middeleeuwen was gedaan door een soort koninkrijk, maar dan ook met nederzettingen van bevrijde slaven, het grootste deel van de bevolking in Oost-Afrika was echt reddeloos, Lavigerie wilde daarom dat de missionarissen nederzettingen en missies bouwden, waarvoor hij broeders stuurde, voormalige Zoeavens, en paters, die dan de taal moesten leren, en ook moesten leren bouwen, en als die slaven bevrijd waren door de verschillende expedities die werden uitgezonden, werden ze naar de missies gestuurd. Het idee hierachter was heel praktisch, en ook het idee, dat de Afrikanen dit nieuwe Christelijke volk zouden worden, zoals hoe Clovis werd bekeerd, en dan geleidelijk aan Frankrijk, op die mythe bouwde hij alles. (Dr. H Hinfelaar, witte Paters)”

“De katholieke voorvechter voor de bevrijding van de slaven was de Franse kardinaal Lavigerie, Aartsbisschop van Carthago en Algiers. In 1868 had hij de congregatie van de witte paters opgericht, met als missie het in tot dan toe ontoegankelijke gebied van Afrika paal en perk te stellen aan de slavernij. Dat onbekende gebied liep van de zuidgrens van de Soedan tot aan de Engelse koloniën van Zuid Afrika in zijn volle breedte. De eerste karavaan die Centraal-Afrika bereikte vertrok in 1868 vanuit Marseille, de reis ervaringen waren van die aard dat Lavigerie zijn mensen liet begeleiden door gewapende oud Zoeaven, zij hadden in Italië de Pauselijke staten verdedig tegen de nationalistische legers van Garibaldi die vochten voor de eenwording voor Italië, de Pauselijke troepen verloren die strijdt en de Zoeaven, waaronder veel Nederlanders die staatloos waren geworden keerde naar huis terug, daardoor waren de eerste Nederlanders die de Afrikaanse binnenlanden binnentrokken 3 Zoeaven.”