“Wananchi wakiamua kufanya kitu katika nchi yao kwa asilimia 100 serikali, na taasisi zake zote, haitaweza kuwazuia. Kwa sababu, mamlaka ya wananchi hushinda ya serikali.” CountryGovernmentFearPowerCitizensInstitutionsPatriotismJingoismSerikali100NchiMamlakaWogaUzalendoWananchiTaasisi Author:Enock Maregesi
“Afrika isomeshe watu wake, na itumie vizuri mapato yanayotokana na mauzo ya rasilimali zake kwa faida ya jumla ya wananchi wa nchi zake, kusudi baadaye wawe wataalamu wa rasilimali za nchi zao wenyewe, kuepukana na utumwa wa rasilimali. Rasilimali za Afrika zina miiko na masharti yake.” PeopleConditionsCitizensResourcesSlaveryExpertsAfricaSalesBenefitWatuCountriesAfrikaTaboosNchiMashartiFaidaRevenuesWataalamuMapatoWananchiRasilimaliUtumwaMauzoMiikoResource SlaveryUtumwa Wa Rasilimali Author:Enock Maregesi
“Fidel Castro alitenda haki katika taifa lake ndiyo maana Mungu akamsaidia yeye na wananchi wake. Ijapokuwa ameondoka, lakini fikira zake sahihi zitaendelea kuwepo. Taifa la Kuba Mungu ataendelea kulibariki, kwa sababu fikira za Wakuba ni fikira za Fidel Castro.” GodCitizensRightCubaMunguFidel CastroHakiTaifaKubaWananchi Author:Enock Maregesi
“Wananchi wataendelea kuwepo hata kama serikali haitakuwepo. Serikali haiwezi kuwashinda wananchi. Sauti ya umma ni sauti ya Mungu. Serikali haiwezi kumshinda Mungu.” CountryGodGovernmentFearVoicePowerCitizensPatriotismAnarchismMunguPublicJingoismSerikaliNchiMamlakaWogaSautiUzalendoWananchiUmmaUtawala Huria Author:Enock Maregesi