“Wananchi wakiamua kufanya kitu katika nchi yao kwa asilimia 100 serikali, na taasisi zake zote, haitaweza kuwazuia. Kwa sababu, mamlaka ya wananchi hushinda ya serikali.” CountryGovernmentFearPowerCitizensInstitutionsPatriotismJingoismSerikali100NchiMamlakaWogaUzalendoWananchiTaasisi Author:Enock Maregesi