Quotessence
Home / Topics / Uganda Quotes

Uganda Quotes

Browse 72 quotes about Uganda.

Related topics

Uganda Quotes

“Komandoo Nicolas Kahima Kankiriho ('Kahima the Warrior') alizaliwa katika Wilaya ya Bushenyi, Ankole, kusini-magharibi mwa Uganda, Julai 24, 1954, mtoto wa tano kuzaliwa, katika familia ya watoto sita ya Nicodemas Kankiriho; mzee wa heshima wa Wabaima, aliyekuwa akisifika sana kwa uchungaji (wa mifugo) na msisitizo mkali wa ukiristo kwa watoto wake wote; hasa Kahima na Yebare, binti yake wa pekee, aliyekuwa wa mwisho kuzaliwa. Kahima (futi 6 inchi 3 aliyekuwa akiongea Kinyankole, Kiswahili, Kiingereza na Kihispania kwa ufasaha), baada ya kutoka Uganda – kwa mafunzo ya mwanzo ya ukomandoo ya Kiisraeli – alikwenda Urusi na Korea ya Kaskazini ambako aliongeza ujuzi hadi kiwango cha juu kabisa; kabla ya kwenda Amerika ya Kusini, kama askari wa msituni wa vyama vya kisiasa visivyo rasmi vya magorila wa Kolombia. Akiwa Kolombia, Kahima alikutana na Eduardo Chapa de Christopher (kiongozi wa zamani wa Kateli ya Diablos de Amazonas, Mashetani wa Amazoni, iliyokuwa ikivilinda vyama vya kisiasa vya magorila vya Americas) ambaye alimwajiri kama mlinzi binafsi na baadaye kama mlinzi binafsi wa Carlos Pulecio Alcántara – kiongozi wa kwanza wa Kateli ya Kolonia Santita. Alcántara alipouwawa, Kahima alihamia kwa Panthera Tigrisi – Kiongozi Mkuu wa Kolonia Santita.”

“In Uganda, I wrote a questionaire that I had my research assistants give; on it, I asked about the embalasassa, a speckled lizard said to be poisonous and to have been sent by Prime minsister Milton Obote to kill Baganda in the late 1960s. It is not poisonous and was no more common in the 1960s than it had been in previous decades, as Makerere University science professors announced on the radio and stated in print… I wrote the question, What is the difference between basimamoto and embalasassa? Anyone who knows anything about the Bantu language—myself included—would know the answer was contained in the question: humans and reptiles are different living things and belong to different noun classes… A few of my informants corrected my ignorance… but many, many more ignored the translation in my question and moved beyond it to address the history of the constructs of firemen and poisonous lizards without the slightest hesitation. They disregarded language to engage in a discussion of events… My point is not about the truth of the embalasassa story… but rather that the labeling of one thing as ‘true’ and the other as ‘fictive’ or ‘metaphorical’—all the usual polite academic terms for false—may eclipse all the intricate ways in which people use social truths to talk about the past. Moreover, chronological contradictions may foreground the fuzziness of certain ideas and policies, and that fuzziness may be more accurate than any exact historical reconstruction… Whether the story of the poisionous embalasassa was real was hardly the issue; there was a real, harmless lizard and there was a real time when people in and around Kampala feared the embalasassa. They feared it in part because of beliefs about lizards, but mainly what frightened people was their fear of their government and the lengths to which it would go to harm them. The confusions and the misunderstandings show what is important; knowledge about the actual lizard would not.”

“Even adults who were stiffened by the starch of their miserable lives, for whom breaking the stony discipline of austere and judgmental intolerance was usually off the table, melted in the magical luminescence and energetic charm of the pre-pubescent Ruka.”

“The regular choreography, entrances and exits of blooms in stages such that the garden looked like an ever-evolving carousel of swirling rainbows and radiant butterflies, seemed condensed. All of the flowers still obeyed some silent urgent command to make their debut. But this year, it definitely unfolded more quickly, as if racing to meet a new compelling deadline.”

“It was the fundamental bifurcation of the masses of human meat into two starkly opposite classes: the haves and the have-nots. The have-nots had barely anything. The haves had it all. The haves had everything except concern and compassion for the have-nots, who they regarded as little more than cockroaches.”

“Kiswahili ni lugha rasmi ya nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Ni lugha isiyo rasmi ya nchi za Rwanda, Burundi, Msumbiji na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Lugha ya Kiswahili ni mali ya nchi za Afrika ya Mashariki, si mali ya nchi za Afrika Mashariki peke yake. Pia, Kiswahili ni lugha rasmi ya Umoja wa Afrika; pamoja na Kiarabu, Kiingereza, Kifaransa, Kireno na Kihispania. Kiswahili ni lugha inayozungumzwa zaidi nchini Tanzania kuliko nchi nyingine yoyote ile, duniani.”

“Kiswahili ni lugha ya Kibantu na lugha kuu ya kimataifa ya biashara ya Afrika ya Mashariki ambayo; maneno yake mengi yamepokewa kutoka katika lugha za Kiarabu, Kireno, Kiingereza, Kihindi, Kijerumani na Kifaransa, kutoka kwa wakoloni waliyoitawala pwani ya Afrika ya Mashariki katika kipindi cha karne tano zilizopita. Lugha ya Kiswahili ilitokana na lugha za Kisabaki za Afrika Mashariki; ambazo nazo zilitokana na Lugha za Kibantu za Pwani ya Kaskazini Mashariki za Tanzania na Kenya, zilizotokana na lugha zaidi ya 500 za Kibantu za Afrika ya Kusini na Kati. Lugha za Kibantu zilitokana na lugha za Kibantoidi, ambazo ni lugha zenye asili ya Kibantu za kusini mwa eneo la Wabantu, zilizotokana na jamii ya lugha za Kikongo na Kibenue – tawi kubwa kuliko yote ya familia ya lugha za Kikongo na Kinijeri katika bara la Afrika. Familia ya lugha za Kikongo na Kibenue ilitokana na jamii ya lugha za Kiatlantiki na Kikongo; zilizotokana na familia ya lugha za Kikongo na Kinijeri, ambayo ni familia kubwa ya lugha kuliko zote duniani kwa maana ya lugha za kikabila. Familia ya lugha ya Kiswahili imekuwepo kwa karne nyingi. Tujifunze kuzipenda na kuzitetea lugha zetu kwa faida ya vizazi vijavyo.”

“Our guns were still strapped onto our backs, because a gun meant life. Without it there was no life in the LRA. After crossing the water and walking for a long time, there was a whisper in my heart, telling me that if we kept the guns we would get killed. I was learning to listen to this gentle voice that spoke to my heart. This time what was said was hard to accept. I didn't know how I would convince my friends to throw away what seemed to be their last hope. The voice would not leave me alone. It continued to whisper in my ears to drop the guns.”

“As a Nobel Peace laureate, I, like most people, agonize over the use of force. But when it comes to rescuing an innocent people from tyranny or genocide, I've never questioned the justification for resorting to force. That's why I supported Vietnam's 1978 invasion of Cambodia, which ended Pol Pot's regime, and Tanzania's invasion of Uganda in 1979, to oust Idi Amin. In both cases, those countries acted without U.N. or international approval—and in both cases they were right to do so.”

“The Jews might have had Uganda, Madagascar, and other places for the establishment of a Jewish Fatherland, but they wanted absolutely nothing except Palestine, not because the Dead Sea water by evaporation can produce five trillion dollars of metaloids and powdered metals; not because the sub-soil of Palestine contains twenty times more petroleum than all the combined reserves of the two Americas; but because Palestine is the crossroads of Europe, Asia, and Africa, because Palestine constitutes the veritable center of world political power, the strategic center for world control.”

“Women's scars and rituals involved beauty (piercing ears and noses, binding feet, and wearing corsets); men's involved protecting women. In cultures in which physical strength is still the best way to protect women, as among the Dodos in Uganda, each time a man kills a man, he is awarded a ritual scar; the more scars, the more he is considered eligible.”

“Every day I have spent in Uganda has been beautifully overwhelming; everywhere I have looked, raw, filthy, human need and brokenness have been on display, begging for someone to meet them, fix them. And even though I realize I cannot always mend or meet, I can enter in. I can enter into someone's pain and sit with them and know. This is Jesus. Not that He apologizes for the hard and the hurt, but that he enters in, He comes with us to the hard places. And so I continue to enter.”

“Someone sent an email to Reverend Joanna Watson [an American missionary] saying that I'm gay, and she sent it to all the anti-gay pastors in Uganda. One of them said, "We're going to take care of this guy." When I was confronted by them I didn't know what they were going to do, but they decided to pray over me. They said they were going to cure me. That didn't work, of course.”

“The first lady of Uganda is a devoted evangelical and beloved by the faith community. At an evangelical conference in Argentina, one minister said, "Mama Janet has given us the keys to Africa." She has done that by creating a nation that has embraced a Dominionist form of Christianity that believes that Christians have a God-given right to rule the world.”