“Komandoo Nicolas Kahima Kankiriho ('Kahima the Warrior') alizaliwa katika Wilaya ya Bushenyi, Ankole, kusini-magharibi mwa Uganda, Julai 24, 1954, mtoto wa tano kuzaliwa, katika familia ya watoto sita ya Nicodemas Kankiriho; mzee wa heshima wa Wabaima, aliyekuwa akisifika sana kwa uchungaji (wa mifugo) na msisitizo mkali wa ukiristo kwa watoto wake wote; hasa Kahima na Yebare, binti yake wa pekee, aliyekuwa wa mwisho kuzaliwa. Kahima (futi 6 inchi 3 aliyekuwa akiongea Kinyankole, Kiswahili, Kiingereza na Kihispania kwa ufasaha), baada ya kutoka Uganda – kwa mafunzo ya mwanzo ya ukomandoo ya Kiisraeli – alikwenda Urusi na Korea ya Kaskazini ambako aliongeza ujuzi hadi kiwango cha juu kabisa; kabla ya kwenda Amerika ya Kusini, kama askari wa msituni wa vyama vya kisiasa visivyo rasmi vya magorila wa Kolombia. Akiwa Kolombia, Kahima alikutana na Eduardo Chapa de Christopher (kiongozi wa zamani wa Kateli ya Diablos de Amazonas, Mashetani wa Amazoni, iliyokuwa ikivilinda vyama vya kisiasa vya magorila vya Americas) ambaye alimwajiri kama mlinzi binafsi na baadaye kama mlinzi binafsi wa Carlos Pulecio Alcántara – kiongozi wa kwanza wa Kateli ya Kolonia Santita. Alcántara alipouwawa, Kahima alihamia kwa Panthera Tigrisi – Kiongozi Mkuu wa Kolonia Santita.” FamilyChristianityIsraelRussiaIsraeliNorth KoreaSpanishEnglishColombiaSouth AmericaBodyguardFamiliaUgandaKolonia SantitaSwahiliCommandoKiswahiliPanthera Tigrisi1954KiingerezaUrusiAmericasAmerika Ya KusiniEduardo Chapa De ChristopherKolombiaKomandooAskari Wa MsituniGuerrilla SoldiersKahima KankirihoKiongozi Wa Kolonia SantitaKolonia Santita LeaderKorea Ya KaskaziniAnkoleBaimasBushenyiCarlos Pulecio AlcántaraDiablos De AmazonasJulai 24Kahima The WarriorKihispaniaKinyankoleKusini Magharibi Mwa UgandaLast BornMashetani Wa AmazoniMlinzi BinafsiMwisho KuzaliwaNicodemas KankirihoNicolas Kahima KankirihoRunyankoleSouthwest UgandaUkiristoWabaimaYebare Author:Enock Maregesi
“Sanjay Kanaka Ramachandra, 'The Satellite', baada ya kutoka Korea ya Kaskazini na Salina Cruz kwa ajili ya kozi maalumu ya ugaidi na kwa ajili ya Kiapo cha Swastika kwa mpangilio huo, alirudi Mumbai kusimamia shughuli za Kolonia Santita za bara la Asia na Australia – kwa uaminifu wa Sheria ya Kitalifa ya Kolonia Santita. Ramachandra, anayeitwa 'The Satellite' kwa sababu ya jina lake la mwisho, alipewa pia jukumu la kuyachunga Makao Makuu ya Kanda ya Asia-Australia ya Tume ya Dunia; na kupeleka taarifa yoyote ya kijasusi (inayohusiana na WODEC-Rangoon) Mexico City kwa ajili ya maamuzi ya Mkurugenzi wa Usalama wa Kolonia Santita Gortari Manuel. Mojawapo ya operesheni kubwa alizowahi kuzifanya Ramachandra kwa niaba ya Kolonia Santita ni kuingiza nchini India mzigo wa tani 350 za majani ya koka, ijapokuwa tani 37 zilikamatwa na mamlaka za kuzuia madawa ya kulevya za India na za Tume ya Dunia, na kusambaza kilo 560 za kokeini safi (isiyokuwa na doa) katika nchi zote za Asia na Australia ndani ya siku 14.” IndiaTerrorismAustraliaAsiaNorth KoreaNarcoticsMumbaiMexico CityCourseKolonia SantitaOperationTume Ya DuniaMadawa Ya KulevyaSalina CruzGortari ManuelSetilaitiAsia AustraliaKiapo Cha SwastikaKorea Ya KaskaziniOperesheniSheria Ya Kitalifa14 Days350 Metric Tons37 Metric Tons560 KilosCoca LeavesKilo 560Kokeini Safi Isiyokuwa Na DoaKoziMajani Ya KokaPure CocaineSanjay Kanaka RamachandraSiku 14Tani 350Tani 37The SatelliteThe Swastika OathUgaidiWodec Rangoon Author:Enock Maregesi