“Sanjay Kanaka Ramachandra, 'The Satellite', baada ya kutoka Korea ya Kaskazini na Salina Cruz kwa ajili ya kozi maalumu ya ugaidi na kwa ajili ya Kiapo cha Swastika kwa mpangilio huo, alirudi Mumbai kusimamia shughuli za Kolonia Santita za bara la Asia na Australia – kwa uaminifu wa Sheria ya Kitalifa ya Kolonia Santita. Ramachandra, anayeitwa 'The Satellite' kwa sababu ya jina lake la mwisho, alipewa pia jukumu la kuyachunga Makao Makuu ya Kanda ya Asia-Australia ya Tume ya Dunia; na kupeleka taarifa yoyote ya kijasusi (inayohusiana na WODEC-Rangoon) Mexico City kwa ajili ya maamuzi ya Mkurugenzi wa Usalama wa Kolonia Santita Gortari Manuel. Mojawapo ya operesheni kubwa alizowahi kuzifanya Ramachandra kwa niaba ya Kolonia Santita ni kuingiza nchini India mzigo wa tani 350 za majani ya koka, ijapokuwa tani 37 zilikamatwa na mamlaka za kuzuia madawa ya kulevya za India na za Tume ya Dunia, na kusambaza kilo 560 za kokeini safi (isiyokuwa na doa) katika nchi zote za Asia na Australia ndani ya siku 14.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: Blue Ocean Strategy: How to Create Uncontested Market Space and Make the Competition Irrelevant
Source: Mentality - A book for men
Source: Women's Bodies, Women's Wisdom: Creating Physical and Emotional Health and Healing
Source: Hang My Heart on the Shadows of Light: A Novel
Source: Earthflown
“Those who mean business don't say much. They spring into action.”
Source: Your Clients and You
“Hoping and dreaming alone is insufficient to make your hopes and dreams come true.”
Source: Sips And Little Portions
“Writing, of course, is a substitute for the life I cannot live, am unable to live.”