Quotessence
Home / Topics / Ethiopia Quotes

Ethiopia Quotes

Browse 98 quotes about Ethiopia.

Related topics

Ethiopia Quotes

“Biblia pamoja na historia vinatwambia kuwa mitume kumi na wawili wa Yesu Kristo waliamua kufa kinyama kama mfalme wao alivyokufa, kwa sababu walikataa kukana imani yao juu ya Yesu Kristo. Mathayo alikufa kwa ajili ya Ukristo nchini Ethiopia kwa jeraha lililotokana na kisu kikali, Marko akavutwa na farasi katika mitaa ya Alexandria nchini Misri mpaka akafa, kwa sababu alikataa kukana jina la Yesu Kristo. Luka alinyongwa nchini Ugiriki kwa sababu ya kuhubiri Injili ya Yesu Kristo katika nchi ambapo watu hawakumtambua Yesu. Yohana alichemshwa katika pipa la mafuta ya moto katika kipindi cha mateso makubwa ya Wakristo nchini Roma, lakini kimiujiza akaponea chupuchupu, kabla ya kufungwa katika gereza la kisiwa cha Patmo (Ugiriki) ambapo ndipo alipoandika kitabu cha Ufunuo. Mtume Yohana baadaye aliachiwa huru na kurudi Uturuki, ambapo alimtumikia Bwana kama Askofu wa Edessa. Alikufa kwa uzee, akiwa mtume pekee aliyekufa kwa amani. Petro alisulubiwa kichwa chini miguu juu katika msalaba wa umbo la X kulingana na desturi za kikanisa za kipindi hicho, kwa sababu aliwaambia maadui zake ya kuwa alijisikia vibaya kufa kama alivyokufa mfalme wake Yesu Kristo. Yakobo ndugu yake na Yesu (Yakobo Mkubwa), kiongozi wa kanisa mjini Yerusalemu, alirushwa kutoka juu ya mnara wa kusini-mashariki wa hekalu aliloliongoza la Hekalu Takatifu (zaidi ya futi mia moja kwenda chini) na baadaye kupigwa kwa virungu mpaka akafa, alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo. Yakobo mwana wa Zebedayo (Yakobo Mdogo) alikuwa mvuvi kabla Yesu Kristo hajamwita kuwa mchungaji wa Injili yake. Kama kiongozi wa kanisa hatimaye, Yakobo aliuwawa kwa kukatwa kichwa mjini Yerusalemu. Afisa wa Kirumi aliyemlinda Yakobo alishangaa sana jinsi Yakobo alivyolinda imani yake siku kesi yake iliposomwa. Baadaye afisa huyo alimsogelea Yakobo katika eneo la mauti. Nafsi yake ilipomsuta, alijitoa hatiani mbele ya hakimu kwa kumkubali Yesu Kristo kama kiongozi wa maisha yake; halafu akapiga magoti pembeni kwa Yakobo, ili na yeye akatwe kichwa kama mfuasi wa Yesu Kristo. Bartholomayo, ambaye pia alijulikana kama Nathanali, alikuwa mmisionari huko Asia. Alimshuhudia Yesu mfalme wa wafalme katika Uturuki ya leo. Bartholomayo aliteswa kwa sababu ya mahubiri yake huko Armenia, ambako inasemekana aliuwawa kwa kuchapwa bakora mbele ya halaiki ya watu iliyomdhihaki. Andrea alisulubiwa katika msalaba wa X huko Patras nchini Ugiriki. Baada ya kuchapwa bakora kinyama na walinzi saba, alifungwa mwili mzima kwenye msalaba ili ateseke zaidi. Wafuasi wake waliokuwepo katika eneo la tukio waliripoti ya kuwa, alipokuwa akipelekwa msalabani, Andrea aliusalimia msalaba huo kwa maneno yafuatayo: "Nimekuwa nikitamani sana na nimekuwa nikiitegemea sana saa hii ya furaha. Msalaba uliwekwa wakfu na Mwenyezi Mungu baada ya mwili wa Yesu Kristo kuning’inizwa juu yake." Aliendelea kuwahubiria maadui zake kwa siku mbili zaidi, akiwa msalabani, mpaka akaishiwa na nguvu na kuaga dunia. Tomaso alichomwa mkuki nchini India katika mojawapo ya safari zake za kimisionari akiwa na lengo la kuanzisha kanisa la Yesu Kristo katika bara la India. Mathiya alichaguliwa na mitume kuchukua nafasi ya Yuda Iskarioti, baada ya kifo cha Yuda katika dimbwi la damu nchini India. Taarifa kuhusiana na maisha na kifo cha Mathiya zinachanganya na hazijulikani sawasawa. Lakini ipo imani kwamba Mathiya alipigwa mawe na Wayahudi huko Yerusalemu, kisha akauwawa kwa kukatwa kichwa. Yuda Tadei, ndugu yake na Yesu, aliuwawa kwa mishale alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo. Mitume walikuwa na imani kubwa kwa sababu walishuhudia ufufuo wa Yesu Kristo, na miujiza mingine. Biblia ni kiwanda cha imani. Tunapaswa kuiamini Biblia kama mitume walivyomwamini Yesu Kristo, kwa sababu Biblia iliandikwa na mitume.”

“Ethiopia is the center of origin and diversity for the majority of coffee we drink. The commodification of coffee pushes farmers to grow as much as possible by whatever means possible. This has contributed to deforestation. The place where coffee was born - the area with the greatest biodiversity of coffee anywhere in the world - could disappear. No forest, no coffee. No coffee, no forest. What we lose isn't specific to Ethiopia; it impacts us all.”

“Do you really suppose history will remember him, this foot soldier? Not really. Yes, battles will be chronicled, and from that history will be written. It will be in the news, on television and even in books. People will talk about it in bars and coffeehouses. However, the focus will be on the progress of the war, the strategy and tactics, with maybe a mention or two of the commanding officer and how bravely, courageously and strategically he coordinated his troops to wage the battle. But when it comes to the regular people, the foot soldiers, it is a different story. For them, history is unforgiving and merciless. Who do you think will even care to know who Captain Gasha was? His acomplishments on the battlefield, his aches and pains? No-one will caer, history does not bother about minor details. Captain Gasha is only too aware that he is a fleeting speck in the annals of history, his name remembered by no-one.”

“After the rise and decline of Greek civilisation and the Roman destruction of the city of Carthage, they made one area of the conquered territories into a province which they called Africa, a word derived from "afri" and the name of a group of people about whom little is known. At first the word applied only to the Roman colonies of North Africa. There was a time when all dark-skinned people were called "Ethiopians," for the Greeks referred to Africa as "the Land of the Burnt-face People".”

“Deep in the heart of the hot, wet African rainforest, there lives a tribe of peacemakers who share a multiplicity of pleasures and make a very special kind of love. South of the sprawling Congo River, in the midst of war-ravaged territory, some 2,000 miles from the arid Ethiopian desert where the oldest human fossils have been found, lies this lush and steamy jungle paradise, the only natural habitat of the bonobo.”

“The lifetime prevalence of dissociative disorders among women in a general urban Turkish community was 18.3%, with 1.1% having DID (ar, Akyüz, & Doan, 2007). In a study of an Ethiopian rural community, the prevalence of dissociative rural community, the prevalence of dissociative disorders was 6.3%, and these disorders were as prevalent as mood disorders (6.2%), somatoform disorders (5.9%), and anxiety disorders (5.7%) (Awas, Kebede, & Alem, 1999). A similar prevalence of ICD-10 dissociative disorders (7.3%) was reported for a sample of psychiatric patients from Saudi Arabia (AbuMadini & Rahim, 2002).”

“This propaganda of dis-associating Western Negroes from Africa is not a new one. For many years white propagandists have been printing tons of literature to impress scattered Ethiopia, especially that portion within their civilization, with the idea that Africa is a despised place, inhabited by savages, and cannibals, where no civilized human being should go, especially black civilized human beings. This propaganda is promulgated for the cause that is being realized today. That cause is COLONIAL EXPANSION for the white nations of the world.”

“The monarchy of the Greeks for want of an heir was broken into several kingdoms; four of which, seated to the four winds of heaven, were very eminent. For Ptolemy reigned over Egypt, Lybia and Ethiopia ; Antigonus over Syria and the lesser Asia; Lysimachus over Thrace ; and Cassander over Macedon, Greece and Epirus .”

“My mom is American, so I was raised in her household in my formative years. But as I got older, my pops tried to keep me involved with the culture by telling me the stories of the conflict between Ethiopia and Eritrea, how he came to America, and about our family back home, because all that side of my family, my aunties, grandparents, is in Africa.”

“As a prisoner of conscience committed to peaceful transition to democracy, I urge Europe to apply economic sanctions against Ethiopia. What short-term pain may result will be compensated by long-term gain. A pledge to re-engage energetically with a democratic Ethiopia would act as a catalyst for reform.”

“I've gone into auditions and I think they have an assumption about me when they see my photo and then I open my mouth and they say, 'Where exactly are you from? And you were born in Ethiopia? But you're Irish, but you also kind of sound English. That's really strange.' They want to put you in a box in LA, that's how they tend to do it there, so if you don't fit in that box, it makes it more difficult.”

“Like twentieth-century Iran, the remnant of the Persian Empire, Ethiopia under Haile Selassie attempted to preserve the absolutist state throught an accommodation with modernizing forces in his own terms without completely subduing traditionalists. This was not a strategy of Haile Selassie's own choosing. Instead, he was overtaken by events and forced to deal with contradictions that were from the very beginning too formidable to be managed in the long term.”

“When I first came into international running, most runners did about 60-70 miles or running a week. I guess that is still the standard except for Kenya and Ethiopia. I was doing 150-250 a week and some weeks as high as 350. It was unheard of! But, because I did not have access to what was possible and standard, I had to set my own possibilities and standards. I was just lucky enough to be out of the loop and not know.”

“Well, talking about Ethiopia is like talking about the whole continent. A month ago we played against AIDS and famine. We also played in Dakar. It is not only the music which is playing an important role on this issue of problems affecting Africa, but the activities of doctors, sportsmen and journalists are also helping in various ways.”

“Fiction is more dangerous than nonfiction because it can seduce better. I think we all know this, know that deeper truths can be approached in fiction than in fact. There are risks for the reader, because after reading certain books you find you have changed irreversibly. There are risks for writers: in China, now, and Ethiopia and other countries right now, writers face real persecution.”