Quotessence
Home / Topics / Andrea Quotes

Andrea Quotes

Browse 60 quotes about Andrea.

Related topics

Andrea Quotes

“Biblia pamoja na historia vinatwambia kuwa mitume kumi na wawili wa Yesu Kristo waliamua kufa kinyama kama mfalme wao alivyokufa, kwa sababu walikataa kukana imani yao juu ya Yesu Kristo. Mathayo alikufa kwa ajili ya Ukristo nchini Ethiopia kwa jeraha lililotokana na kisu kikali, Marko akavutwa na farasi katika mitaa ya Alexandria nchini Misri mpaka akafa, kwa sababu alikataa kukana jina la Yesu Kristo. Luka alinyongwa nchini Ugiriki kwa sababu ya kuhubiri Injili ya Yesu Kristo katika nchi ambapo watu hawakumtambua Yesu. Yohana alichemshwa katika pipa la mafuta ya moto katika kipindi cha mateso makubwa ya Wakristo nchini Roma, lakini kimiujiza akaponea chupuchupu, kabla ya kufungwa katika gereza la kisiwa cha Patmo (Ugiriki) ambapo ndipo alipoandika kitabu cha Ufunuo. Mtume Yohana baadaye aliachiwa huru na kurudi Uturuki, ambapo alimtumikia Bwana kama Askofu wa Edessa. Alikufa kwa uzee, akiwa mtume pekee aliyekufa kwa amani. Petro alisulubiwa kichwa chini miguu juu katika msalaba wa umbo la X kulingana na desturi za kikanisa za kipindi hicho, kwa sababu aliwaambia maadui zake ya kuwa alijisikia vibaya kufa kama alivyokufa mfalme wake Yesu Kristo. Yakobo ndugu yake na Yesu (Yakobo Mkubwa), kiongozi wa kanisa mjini Yerusalemu, alirushwa kutoka juu ya mnara wa kusini-mashariki wa hekalu aliloliongoza la Hekalu Takatifu (zaidi ya futi mia moja kwenda chini) na baadaye kupigwa kwa virungu mpaka akafa, alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo. Yakobo mwana wa Zebedayo (Yakobo Mdogo) alikuwa mvuvi kabla Yesu Kristo hajamwita kuwa mchungaji wa Injili yake. Kama kiongozi wa kanisa hatimaye, Yakobo aliuwawa kwa kukatwa kichwa mjini Yerusalemu. Afisa wa Kirumi aliyemlinda Yakobo alishangaa sana jinsi Yakobo alivyolinda imani yake siku kesi yake iliposomwa. Baadaye afisa huyo alimsogelea Yakobo katika eneo la mauti. Nafsi yake ilipomsuta, alijitoa hatiani mbele ya hakimu kwa kumkubali Yesu Kristo kama kiongozi wa maisha yake; halafu akapiga magoti pembeni kwa Yakobo, ili na yeye akatwe kichwa kama mfuasi wa Yesu Kristo. Bartholomayo, ambaye pia alijulikana kama Nathanali, alikuwa mmisionari huko Asia. Alimshuhudia Yesu mfalme wa wafalme katika Uturuki ya leo. Bartholomayo aliteswa kwa sababu ya mahubiri yake huko Armenia, ambako inasemekana aliuwawa kwa kuchapwa bakora mbele ya halaiki ya watu iliyomdhihaki. Andrea alisulubiwa katika msalaba wa X huko Patras nchini Ugiriki. Baada ya kuchapwa bakora kinyama na walinzi saba, alifungwa mwili mzima kwenye msalaba ili ateseke zaidi. Wafuasi wake waliokuwepo katika eneo la tukio waliripoti ya kuwa, alipokuwa akipelekwa msalabani, Andrea aliusalimia msalaba huo kwa maneno yafuatayo: "Nimekuwa nikitamani sana na nimekuwa nikiitegemea sana saa hii ya furaha. Msalaba uliwekwa wakfu na Mwenyezi Mungu baada ya mwili wa Yesu Kristo kuning’inizwa juu yake." Aliendelea kuwahubiria maadui zake kwa siku mbili zaidi, akiwa msalabani, mpaka akaishiwa na nguvu na kuaga dunia. Tomaso alichomwa mkuki nchini India katika mojawapo ya safari zake za kimisionari akiwa na lengo la kuanzisha kanisa la Yesu Kristo katika bara la India. Mathiya alichaguliwa na mitume kuchukua nafasi ya Yuda Iskarioti, baada ya kifo cha Yuda katika dimbwi la damu nchini India. Taarifa kuhusiana na maisha na kifo cha Mathiya zinachanganya na hazijulikani sawasawa. Lakini ipo imani kwamba Mathiya alipigwa mawe na Wayahudi huko Yerusalemu, kisha akauwawa kwa kukatwa kichwa. Yuda Tadei, ndugu yake na Yesu, aliuwawa kwa mishale alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo. Mitume walikuwa na imani kubwa kwa sababu walishuhudia ufufuo wa Yesu Kristo, na miujiza mingine. Biblia ni kiwanda cha imani. Tunapaswa kuiamini Biblia kama mitume walivyomwamini Yesu Kristo, kwa sababu Biblia iliandikwa na mitume.”

“And Raphael will be joining us,” Andrea said. “So you get twice the backup. Nobody will be killing you on our watch.” So that was what this was all about. I got a cookie after all. “Aww. I had no idea you cared. I’m touched.” “You should be.” Andrea bit another bacon slice. “I’m willing to abandon the tender embrace of my future mother-in-law for your sake.” “About that,” Aunt B said. “I’m coming, too.” Dear God, the cookie was poisoned." 12% in 'Magic Rises' by Ilona Andrews”

“I live a half mile from the San Andreas fault - a fact that bubbles up into my consciousness every time some other part of the world experiences an earthquake. I sometimes wonder whether this subterranean sense of impending disaster is at least partly responsible for Silicon Valley's feverish, get-it-done-yesterday work norms.”

“Some of the people who are now manipulating photos, such as Andreas Gursky, make the argument - rightly - that the 'straight' photographs of the 1940s and 50s were no such thing. Ansell Adams would slap a red filter on his lens, then spend three days burning and dodging in the dark room, making his prints. That's a manipulation. Even the photographs of Henri Cartier-Bresson, with all due respect to him, are notoriously burned and dodged.”

“I sustained an injury by singing with the flu during the second performance of Andrea Chenier in Buenos Aires. I was very sick, with chills and sweats, but against my better judgement I let them talk me into singing. Of course I gave the performance everything I had and my voice was hurt. It was scary at first, but fortunately there was no permanent damage. I just had to be patient and wait for the voice to return. It took six weeks of physical recuperation and it took time to recover my confidence as well.”

“I read a lot by female psychoanalyst Lou Andreas-Salomé, who wrote prominent biographies of Nietzsche, Rilke, and Freud because she studied with all of them. She had this unbelievable insight into contemporary psychoanalysis. What is so interesting is that she wrote her life, and she knew that her life would be about these men, and it didn't stop her from leading an incredibly successful academic career. But her strange self-awareness that she was going to bookmark these men's lives is really interesting to me.”

“There's just a law to the universe. We can have the San Andreas rip tonight. You've nothing to do with that. We could have had that super hurricane, that, look what it did to South Carolina two or three hundred miles offshore! Imagine if a category 5 eye wall went right up the Chesapeake Bay. They can say "well, mankind did that." No, mother nature decides. So, will we survive? I'm sure we will.”

“All this time…ever since I sold my soul, I’ve been clinging to this idea that there is something pure and decent out there. That there was something to give me hope that even if I was a lost cause, at least there was something bright and good in the world. But there isn’t. If there was, Seth wouldn’t have fallen. Erik wouldn’t have died. Andrea Mortensen wouldn’t be dying.” -Georgina to Carter”

“Raphael turned me over and looked at me, his face close to mine. "You and I will never be done.You're my mate." He kissed the corner of my mouth. I almost cried. "I stopped sleeping since you left," he said "I'll sleep for a couple of hours, wake up, you're not there." I closed my eyes. "I need an answer, Andrea," he said. "An answer?" "Mate. Yes or no." "Do you need to ask?" I whispered. "You're my mate.”

“You could buy a car for fifty thousand dollars. A really nice car.” Ascanio’s eyes lit up. “A Hummer. You could buy a converted Hummer.” “You don’t need a Hummer.” I said. “Chicks dig the Hummer.” “You don`t need any chicks either.” He gave me an injured look. “I have needs.” “I have needs too and right now I need you to concentrate on tracking down Jamar`s collection. Get to it.” - Andrea & Ascanio”