Quotessence
Home / Topics / Armenia Quotes

Armenia Quotes

Browse 51 quotes about Armenia.

Related topics

Armenia Quotes

“Biblia pamoja na historia vinatwambia kuwa mitume kumi na wawili wa Yesu Kristo waliamua kufa kinyama kama mfalme wao alivyokufa, kwa sababu walikataa kukana imani yao juu ya Yesu Kristo. Mathayo alikufa kwa ajili ya Ukristo nchini Ethiopia kwa jeraha lililotokana na kisu kikali, Marko akavutwa na farasi katika mitaa ya Alexandria nchini Misri mpaka akafa, kwa sababu alikataa kukana jina la Yesu Kristo. Luka alinyongwa nchini Ugiriki kwa sababu ya kuhubiri Injili ya Yesu Kristo katika nchi ambapo watu hawakumtambua Yesu. Yohana alichemshwa katika pipa la mafuta ya moto katika kipindi cha mateso makubwa ya Wakristo nchini Roma, lakini kimiujiza akaponea chupuchupu, kabla ya kufungwa katika gereza la kisiwa cha Patmo (Ugiriki) ambapo ndipo alipoandika kitabu cha Ufunuo. Mtume Yohana baadaye aliachiwa huru na kurudi Uturuki, ambapo alimtumikia Bwana kama Askofu wa Edessa. Alikufa kwa uzee, akiwa mtume pekee aliyekufa kwa amani. Petro alisulubiwa kichwa chini miguu juu katika msalaba wa umbo la X kulingana na desturi za kikanisa za kipindi hicho, kwa sababu aliwaambia maadui zake ya kuwa alijisikia vibaya kufa kama alivyokufa mfalme wake Yesu Kristo. Yakobo ndugu yake na Yesu (Yakobo Mkubwa), kiongozi wa kanisa mjini Yerusalemu, alirushwa kutoka juu ya mnara wa kusini-mashariki wa hekalu aliloliongoza la Hekalu Takatifu (zaidi ya futi mia moja kwenda chini) na baadaye kupigwa kwa virungu mpaka akafa, alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo. Yakobo mwana wa Zebedayo (Yakobo Mdogo) alikuwa mvuvi kabla Yesu Kristo hajamwita kuwa mchungaji wa Injili yake. Kama kiongozi wa kanisa hatimaye, Yakobo aliuwawa kwa kukatwa kichwa mjini Yerusalemu. Afisa wa Kirumi aliyemlinda Yakobo alishangaa sana jinsi Yakobo alivyolinda imani yake siku kesi yake iliposomwa. Baadaye afisa huyo alimsogelea Yakobo katika eneo la mauti. Nafsi yake ilipomsuta, alijitoa hatiani mbele ya hakimu kwa kumkubali Yesu Kristo kama kiongozi wa maisha yake; halafu akapiga magoti pembeni kwa Yakobo, ili na yeye akatwe kichwa kama mfuasi wa Yesu Kristo. Bartholomayo, ambaye pia alijulikana kama Nathanali, alikuwa mmisionari huko Asia. Alimshuhudia Yesu mfalme wa wafalme katika Uturuki ya leo. Bartholomayo aliteswa kwa sababu ya mahubiri yake huko Armenia, ambako inasemekana aliuwawa kwa kuchapwa bakora mbele ya halaiki ya watu iliyomdhihaki. Andrea alisulubiwa katika msalaba wa X huko Patras nchini Ugiriki. Baada ya kuchapwa bakora kinyama na walinzi saba, alifungwa mwili mzima kwenye msalaba ili ateseke zaidi. Wafuasi wake waliokuwepo katika eneo la tukio waliripoti ya kuwa, alipokuwa akipelekwa msalabani, Andrea aliusalimia msalaba huo kwa maneno yafuatayo: "Nimekuwa nikitamani sana na nimekuwa nikiitegemea sana saa hii ya furaha. Msalaba uliwekwa wakfu na Mwenyezi Mungu baada ya mwili wa Yesu Kristo kuning’inizwa juu yake." Aliendelea kuwahubiria maadui zake kwa siku mbili zaidi, akiwa msalabani, mpaka akaishiwa na nguvu na kuaga dunia. Tomaso alichomwa mkuki nchini India katika mojawapo ya safari zake za kimisionari akiwa na lengo la kuanzisha kanisa la Yesu Kristo katika bara la India. Mathiya alichaguliwa na mitume kuchukua nafasi ya Yuda Iskarioti, baada ya kifo cha Yuda katika dimbwi la damu nchini India. Taarifa kuhusiana na maisha na kifo cha Mathiya zinachanganya na hazijulikani sawasawa. Lakini ipo imani kwamba Mathiya alipigwa mawe na Wayahudi huko Yerusalemu, kisha akauwawa kwa kukatwa kichwa. Yuda Tadei, ndugu yake na Yesu, aliuwawa kwa mishale alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo. Mitume walikuwa na imani kubwa kwa sababu walishuhudia ufufuo wa Yesu Kristo, na miujiza mingine. Biblia ni kiwanda cha imani. Tunapaswa kuiamini Biblia kama mitume walivyomwamini Yesu Kristo, kwa sababu Biblia iliandikwa na mitume.”

“Until I was twenty-three, I was filled with rage because the Turks took my sister and beat my mother in front of my eyes until she died. But when I was twenty-three, I felt this was not the right way to be a man, so I began to pray to God so He would see me. I was making peace with myself. Now I am ready to meet my God. I am at peace. Last year when the big earthquake happened in Turkey, it killed so many Turks. And I prayed for those Turks-I prayed for those poor Turkish people.”

“The Caucasus mountain range is probably the most variegated ethnological and linguistic area in the world. It is not a melting pot, as has been said, but a refuge area par excellence where small groups have maintained their identity throughout history. The descendants of the Mediaeval Alans, a Scythic Iranian people, live in the north Caucasus today and are called Ossetes. Iranian cultural influences were strong among the Armenians, Georgians and other peoples of the Caucasus and many times in history large parts of this area were under Persian rule. So it well deserves to be mentioned in a survey of Iran.”

“All Romani dialects – about 60 in all - contain Armenian words, proof if you will that the Lom Bosha passed through Armenia in the early 11th century, trading spices along the Great Silk Road, that network of ancient trade routes connecting China with the Mediterranean and the Black Sea. The Romani traded Armenian carpets, silk, dyes, lapis lazuli and tin, and it’s no surprise that five capitals of Armenia are on The Great Silk Road.”

“The world saw and understood that, when it comes to the normalization of the Armenian-Turkish relations, they have to deal not just with Armenia with its three million population, but with the ten million Armenians. And let no one ignore the fact that, contrary to any slogans, the Armenian nation is united in its goals and is strong with its sons and daughters.”

“We are confident that the normalization of Armenia-Turkey relations can become the greatest input of the recent decades in achieving peace and stability in the South Caucasus. With this vision, we have agreed to move forward without any preconditions, not making our relations contingent upon Turkey's recognition of the Armenian Genocide. However, if, as many suspect, it is proven that Turkey's goal is to protract, rather than to normalize relations, we will have to discontinue the process.”

“Armenia categorically rejects the resumption of military hostilities in Nagorno Karabakh as an option. In case Azerbaijan resorts to military aggression, Armenia will have no other choice but to recognize the Nagorno Karabakh Republic de jure and to employ all its capabilities to ensure the security of the people of Artsakh.”

“The massacres are the result of a policy which, as far as can be ascertained, has been entertained for some considerable time by the gang of unscrupulous adventurers who are now in possession of the Government of the Turkish Empire. They hesitated to put it in practice until they thought the favorable moment had come, and that moment seems to have arrived about the month of April.”

“We join Armenians around the world as we remember the terrible massacres suffered in 1915-1923 at the hands of the rulers of the Ottoman Empire. The United States responded to this crime against humanity by leading diplomatic and private relief efforts.”

“Speaker, with mixed emotions we mark the 50th anniversary of the Turkish genocide of the Armenian people. In taking notice of the shocking events in 1915, we observe this anniversary with sorrow in recalling the massacres of Armenians and with pride in saluting those brave patriots who survived to fight on the side of freedom during World War I.”

“The association of Mount Ararat and Noah, the staunch Christians who were massacred periodically by the Mohammedan Turks, and the Sunday School collections over fifty years for alleviating their miseries-all cumulate to impress the name Armenia on the front of the American mind.”

“... the Armenian massacre was the greatest crime of the war, and the failure to act against Turkey is to condone it ... the failure to deal radically with the Turkish horror means that all talk of guaranteeing the future peace of the world is mischievous nonsense.”

“A Russian should rejoice if Poland, the Baltic Provinces, Finland, Armenia, should be separated, freed from Russia; so with an Englishman in regard to Ireland, India and other possessions; and each should help to do this, because the greater the state, the more wrong and cruel is its patriotism, and the greater is the sum of suffering upon which its power is founded. Therefore, if we really wish to be what we profess to be, we must not only cease our present desire for the growth of the state, but we must desire its decrease, its weakening, and help this forward with all our might.”

“[Vladimir] Putin's Russia is only indirectly concerned with the conflict between Armenia and Azerbaijan as a means of maintaining its sphere of influence. I doubt that Russia will meddle. Moreover, I'm quite sure that Ilham Aliyev won't decide to carry out any serious action - it's not in his interest. He's learned his lesson very well - threaten to take action but never act on such words.”

“I should like to see any power of the world destroy this race, this small tribe of unimportant people, whose wars have all been fought and lost, whose structures have crumbled, literature is unread, music is unheard, and prayers are no more answered. Go ahead, destroy Armenia . See if you can do it. Send them into the desert without bread or water. Burn their homes and churches. Then see if they will not laugh, sing and pray again. For when two of them meet anywhere in the world, see if they will not create a New Armenia.”

“My birthplace was California, but I couldn't forget Armenia, so what is one's country? Is it land of the earth, in a specific place? Rivers there? Lakes? The sky there? The way the moon comes up there? And the sun? Is one's country the trees, the vineyards, the grass, the birds, the rocks, the hills and summer and winter? Is it the animal rhythm of the living there? The huts and houses, the streets of cities, the tables and chairs, and the drinking of tea and talking? Is it the peach ripening in summer heat on the bough? Is it the dead in the earth there?”