Quotessence
Home / Topics / Matthias Quotes

Matthias Quotes

Browse 19 quotes about Matthias.

Matthias Quotes

“Biblia pamoja na historia vinatwambia kuwa mitume kumi na wawili wa Yesu Kristo waliamua kufa kinyama kama mfalme wao alivyokufa, kwa sababu walikataa kukana imani yao juu ya Yesu Kristo. Mathayo alikufa kwa ajili ya Ukristo nchini Ethiopia kwa jeraha lililotokana na kisu kikali, Marko akavutwa na farasi katika mitaa ya Alexandria nchini Misri mpaka akafa, kwa sababu alikataa kukana jina la Yesu Kristo. Luka alinyongwa nchini Ugiriki kwa sababu ya kuhubiri Injili ya Yesu Kristo katika nchi ambapo watu hawakumtambua Yesu. Yohana alichemshwa katika pipa la mafuta ya moto katika kipindi cha mateso makubwa ya Wakristo nchini Roma, lakini kimiujiza akaponea chupuchupu, kabla ya kufungwa katika gereza la kisiwa cha Patmo (Ugiriki) ambapo ndipo alipoandika kitabu cha Ufunuo. Mtume Yohana baadaye aliachiwa huru na kurudi Uturuki, ambapo alimtumikia Bwana kama Askofu wa Edessa. Alikufa kwa uzee, akiwa mtume pekee aliyekufa kwa amani. Petro alisulubiwa kichwa chini miguu juu katika msalaba wa umbo la X kulingana na desturi za kikanisa za kipindi hicho, kwa sababu aliwaambia maadui zake ya kuwa alijisikia vibaya kufa kama alivyokufa mfalme wake Yesu Kristo. Yakobo ndugu yake na Yesu (Yakobo Mkubwa), kiongozi wa kanisa mjini Yerusalemu, alirushwa kutoka juu ya mnara wa kusini-mashariki wa hekalu aliloliongoza la Hekalu Takatifu (zaidi ya futi mia moja kwenda chini) na baadaye kupigwa kwa virungu mpaka akafa, alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo. Yakobo mwana wa Zebedayo (Yakobo Mdogo) alikuwa mvuvi kabla Yesu Kristo hajamwita kuwa mchungaji wa Injili yake. Kama kiongozi wa kanisa hatimaye, Yakobo aliuwawa kwa kukatwa kichwa mjini Yerusalemu. Afisa wa Kirumi aliyemlinda Yakobo alishangaa sana jinsi Yakobo alivyolinda imani yake siku kesi yake iliposomwa. Baadaye afisa huyo alimsogelea Yakobo katika eneo la mauti. Nafsi yake ilipomsuta, alijitoa hatiani mbele ya hakimu kwa kumkubali Yesu Kristo kama kiongozi wa maisha yake; halafu akapiga magoti pembeni kwa Yakobo, ili na yeye akatwe kichwa kama mfuasi wa Yesu Kristo. Bartholomayo, ambaye pia alijulikana kama Nathanali, alikuwa mmisionari huko Asia. Alimshuhudia Yesu mfalme wa wafalme katika Uturuki ya leo. Bartholomayo aliteswa kwa sababu ya mahubiri yake huko Armenia, ambako inasemekana aliuwawa kwa kuchapwa bakora mbele ya halaiki ya watu iliyomdhihaki. Andrea alisulubiwa katika msalaba wa X huko Patras nchini Ugiriki. Baada ya kuchapwa bakora kinyama na walinzi saba, alifungwa mwili mzima kwenye msalaba ili ateseke zaidi. Wafuasi wake waliokuwepo katika eneo la tukio waliripoti ya kuwa, alipokuwa akipelekwa msalabani, Andrea aliusalimia msalaba huo kwa maneno yafuatayo: "Nimekuwa nikitamani sana na nimekuwa nikiitegemea sana saa hii ya furaha. Msalaba uliwekwa wakfu na Mwenyezi Mungu baada ya mwili wa Yesu Kristo kuning’inizwa juu yake." Aliendelea kuwahubiria maadui zake kwa siku mbili zaidi, akiwa msalabani, mpaka akaishiwa na nguvu na kuaga dunia. Tomaso alichomwa mkuki nchini India katika mojawapo ya safari zake za kimisionari akiwa na lengo la kuanzisha kanisa la Yesu Kristo katika bara la India. Mathiya alichaguliwa na mitume kuchukua nafasi ya Yuda Iskarioti, baada ya kifo cha Yuda katika dimbwi la damu nchini India. Taarifa kuhusiana na maisha na kifo cha Mathiya zinachanganya na hazijulikani sawasawa. Lakini ipo imani kwamba Mathiya alipigwa mawe na Wayahudi huko Yerusalemu, kisha akauwawa kwa kukatwa kichwa. Yuda Tadei, ndugu yake na Yesu, aliuwawa kwa mishale alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo. Mitume walikuwa na imani kubwa kwa sababu walishuhudia ufufuo wa Yesu Kristo, na miujiza mingine. Biblia ni kiwanda cha imani. Tunapaswa kuiamini Biblia kama mitume walivyomwamini Yesu Kristo, kwa sababu Biblia iliandikwa na mitume.”

“I lift his chin and gaze into his face, so darkly beautiful, and I lower my mouth to his without a word... Sometimes, there is no need for words. It is not a romantic kiss, but a reassuring one. "You need to let me go, Brian..." "And you, I, Matthias," he says sadly, as I lift my head, and gaze into the eyes of Timothy, my husband, who has silently approached us on foot, sword drawn. As I have just stated, sometimes words are unnecessary. Timothy looks as if the weight of the entire world has fallen upon him. His eyes are wide and solemn, his face, gaunt. One solitary tear trickles down his cheek. His wings drag on the ground, the feathers filthy and dark with mud. "Matthias, how could you?!" he whispers huskily. "You...of all people...betray me, with a...with a kiss?" I open my mouth to protest, but no words emerge. Indeed, what can I say?”

“Closer, druskelle," she crooned, taunting. He threw an arm over her, hooking her back against his chest. She let out a startled oof and shifted uneasily. "Stop moving," he muttered. He'd been close to girls- not many, it was true- but none of them had been like her. She was indecently round. "You're cold and clammy," she complained with a shiver. "It's like lying next to a burly squid." "You told me to get closer!" "Ease up a bit," she instructed and when he did, she flipped over to face him. "What are you doing?" he asked, pulling back in a panic. "Relax, druskelle. This isn't where I have my way with you." His blue eyes narrowed. "I hate the way you talk.”

“Nina had wronged him, but she'd done it to protect her people. She'd hurt him, but she'd attempted everything in her power to make things right. She'd shown him in a thousand ways that she was honourable and strong and generous and very human, maybe more vividly human than anyone he'd ever known. And if she was, then Grisha weren't inherently evil. They were like anyone else - full of the potential to do great good, and also great harm. To ignore that would make Matthias the monster.”

“Stop her!" Matthias bellowed as he thundered downstairs. Blake's mouth twisted sideways, hand tightened on the knob. What little breath I'd regained, caught. Heart sputtered to a standstill. Then he swung the door open with a sweep of his arm. "After you, milday." My legs didn't hesitate. I vaulted off the porch and hit the driveway running. "What the bloody hell did you do that for?!" "I'm her knight in shining armor. Seriously, dude, your chivalry needs some work. Ow!”

“What kind of lube do you want?" "G-god, I don't KNOW," I stammer, blushing furiously. "Just pick one." He smiles cheekily, eyes sparkling with mischief as I'm standing there, half naked and DYING. 'That little fuck is really enjoying this,' I think affectionately, as he chooses a jar with a saucy grin and bats his eyelashes at me. "So, what did you find?" He grins wickedly. "Banana custard!" "Absolutely NOT!" I shout, and he grins. "Just kidding. Penis colada?--oops." He blushes, and I roar with laughter. "Was that a Freudian slip, My Love?”

“Morgan and Simone are a younger couple. Morgan, an albino with long, silver hair, is from Belfast, Northern Ireland. He's always joking around, and is very dramatic. He has been an actor and an artist's model. His husband, Simone, is very quiet. He's from Mexico, and is very artistic. We've spent countless hours together drawing, painting, and working with clay...Daddy Matt joined us one time, and sculpted a gift for Father Timothy. Father took one look at it, turned scarlet with embarrassment, and promptly hid it in their nightstand. I felt rather sorry for Dad, because he had worked so hard on it, and Father didn't proudly display it in the front room as he did with my work... I don't know why. It looked like a perfectly good hot dog to me. I told Father so, and he promptly sent me to my room, which was completely unfair, as I was only asking a question.”

“Indeed, everyone is seemingly smiling and laughing, except for the large group of gypsy boys, and other followers of Tim's, whom have been sectioned off from the others. Knowing full well the risk of publicly supporting Timothy's ministry, they have nonetheless very bravely come to offer moral support, and to pay their last respects. My eyes fill with tears at their dedication and loyalty; as humble as they are, every one of them is grander than any earthly king to me...”