Quotessence
Home / Topics / Arrows Quotes

Arrows Quotes

Browse 425 quotes about Arrows.

Related topics

Arrows Quotes

“Biblia pamoja na historia vinatwambia kuwa mitume kumi na wawili wa Yesu Kristo waliamua kufa kinyama kama mfalme wao alivyokufa, kwa sababu walikataa kukana imani yao juu ya Yesu Kristo. Mathayo alikufa kwa ajili ya Ukristo nchini Ethiopia kwa jeraha lililotokana na kisu kikali, Marko akavutwa na farasi katika mitaa ya Alexandria nchini Misri mpaka akafa, kwa sababu alikataa kukana jina la Yesu Kristo. Luka alinyongwa nchini Ugiriki kwa sababu ya kuhubiri Injili ya Yesu Kristo katika nchi ambapo watu hawakumtambua Yesu. Yohana alichemshwa katika pipa la mafuta ya moto katika kipindi cha mateso makubwa ya Wakristo nchini Roma, lakini kimiujiza akaponea chupuchupu, kabla ya kufungwa katika gereza la kisiwa cha Patmo (Ugiriki) ambapo ndipo alipoandika kitabu cha Ufunuo. Mtume Yohana baadaye aliachiwa huru na kurudi Uturuki, ambapo alimtumikia Bwana kama Askofu wa Edessa. Alikufa kwa uzee, akiwa mtume pekee aliyekufa kwa amani. Petro alisulubiwa kichwa chini miguu juu katika msalaba wa umbo la X kulingana na desturi za kikanisa za kipindi hicho, kwa sababu aliwaambia maadui zake ya kuwa alijisikia vibaya kufa kama alivyokufa mfalme wake Yesu Kristo. Yakobo ndugu yake na Yesu (Yakobo Mkubwa), kiongozi wa kanisa mjini Yerusalemu, alirushwa kutoka juu ya mnara wa kusini-mashariki wa hekalu aliloliongoza la Hekalu Takatifu (zaidi ya futi mia moja kwenda chini) na baadaye kupigwa kwa virungu mpaka akafa, alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo. Yakobo mwana wa Zebedayo (Yakobo Mdogo) alikuwa mvuvi kabla Yesu Kristo hajamwita kuwa mchungaji wa Injili yake. Kama kiongozi wa kanisa hatimaye, Yakobo aliuwawa kwa kukatwa kichwa mjini Yerusalemu. Afisa wa Kirumi aliyemlinda Yakobo alishangaa sana jinsi Yakobo alivyolinda imani yake siku kesi yake iliposomwa. Baadaye afisa huyo alimsogelea Yakobo katika eneo la mauti. Nafsi yake ilipomsuta, alijitoa hatiani mbele ya hakimu kwa kumkubali Yesu Kristo kama kiongozi wa maisha yake; halafu akapiga magoti pembeni kwa Yakobo, ili na yeye akatwe kichwa kama mfuasi wa Yesu Kristo. Bartholomayo, ambaye pia alijulikana kama Nathanali, alikuwa mmisionari huko Asia. Alimshuhudia Yesu mfalme wa wafalme katika Uturuki ya leo. Bartholomayo aliteswa kwa sababu ya mahubiri yake huko Armenia, ambako inasemekana aliuwawa kwa kuchapwa bakora mbele ya halaiki ya watu iliyomdhihaki. Andrea alisulubiwa katika msalaba wa X huko Patras nchini Ugiriki. Baada ya kuchapwa bakora kinyama na walinzi saba, alifungwa mwili mzima kwenye msalaba ili ateseke zaidi. Wafuasi wake waliokuwepo katika eneo la tukio waliripoti ya kuwa, alipokuwa akipelekwa msalabani, Andrea aliusalimia msalaba huo kwa maneno yafuatayo: "Nimekuwa nikitamani sana na nimekuwa nikiitegemea sana saa hii ya furaha. Msalaba uliwekwa wakfu na Mwenyezi Mungu baada ya mwili wa Yesu Kristo kuning’inizwa juu yake." Aliendelea kuwahubiria maadui zake kwa siku mbili zaidi, akiwa msalabani, mpaka akaishiwa na nguvu na kuaga dunia. Tomaso alichomwa mkuki nchini India katika mojawapo ya safari zake za kimisionari akiwa na lengo la kuanzisha kanisa la Yesu Kristo katika bara la India. Mathiya alichaguliwa na mitume kuchukua nafasi ya Yuda Iskarioti, baada ya kifo cha Yuda katika dimbwi la damu nchini India. Taarifa kuhusiana na maisha na kifo cha Mathiya zinachanganya na hazijulikani sawasawa. Lakini ipo imani kwamba Mathiya alipigwa mawe na Wayahudi huko Yerusalemu, kisha akauwawa kwa kukatwa kichwa. Yuda Tadei, ndugu yake na Yesu, aliuwawa kwa mishale alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo. Mitume walikuwa na imani kubwa kwa sababu walishuhudia ufufuo wa Yesu Kristo, na miujiza mingine. Biblia ni kiwanda cha imani. Tunapaswa kuiamini Biblia kama mitume walivyomwamini Yesu Kristo, kwa sababu Biblia iliandikwa na mitume.”

“Everything was spinning but when I closed my eyes the room was motionless and dark. And then the dreams came. Birds were falling from the sky. Sparrows. Millions and millions of sparrows. They were falling like rain and they were hitting me as they fell and I had their blood all over me and I couldn't find a place to protect myself. Their beaks were breaking my skin like arrows.”

“I…God, I don’t even know where to start. I’m here. I’m here for you, okay? No matter what. You can scream and you can yell and be as mean and self-destructive as you want. Because I know you’re going to be here for me when it’s my turn to fall apart. Let them all come, Clint. Let every last one of those tracksuit-wearing sub-verbal bullying murderous scumbags come at us. Because you and me? Together? Together, Clint, I think you and me are the person we both wish we could be. And I know that person…I know that person is worth something. I know that person can…can pretty much do anything.”

“Piety /pi•e•ty/ (modern definition) 1. When you use Christ’s teachings to put someone in their place out of anger and self-righteousness. It is the number two reason people leave the faith. The first is pride.”

“Student: Master, all the arrows I shot today hit the target! Now I'm an arrow master! Master: There is a master, and there is a master above masters! Now go, try to hit the same target while jumping, when it's windy, when the target is running, when you are blindfolded, when handstand, when a dog trying to bite you behind you, then come here, let's talk again!”

“With good reason, love's messengers, Eros and Kama, are armed with bows and long-distance arrows. No being, god or mortal, can choose love. Love comes despite ourselves; and then, if we have not already done so, we have the task of becoming our selves so we may welcome love.”

“My theory stands as firm as a rock; every arrow directed against it will return quickly to its archer. How do I know this? Because I have studied it from all sides for many years; because I have examined all objections which have ever been made against the infinite numbers; and above all because I have followed its roots, so to speak, to the first infallible cause of all created things.”

“We fret about words, we writers. Words mean. Words point. They are arrows. Arrows stuck in the rough hide of reality. And the more portentous, more general the word, the more they can also resemble rooms or tunnels. They can expand, or cave in. They can come to be filled with a bad smell. They will often remind us of other rooms, where we'd rather dwell or where we think we are already living. They can be spaces we lose the art or the wisdom of inhabiting. And eventually those volumes of mental intention we no longer know how to inhabit will be abandoned, boarded up, closed down.”

“I have myself always been terrified of plagiarism - of being accused of it, that is. Every writer is a thief, though some of us are more clever than others at disguising our robberies. The reason writers are such slow readers is that we are ceaselessly searching for things we can steal and then pass off as our own: a natty bit of syntax, a seamless transition, a metaphor that jumps to its target like an arrow shot from an aluminum crossbow.”

“Code is not like other how-computers-work books. It doesn't have big color illustrations of disk drives with arrows showing how the data sweeps into the computer. Code has no drawings of trains carrying a cargo of zeros and ones. Metaphors and similes are wonderful literary devices but they do nothing but obscure the beauty of technology.”

“I often find myself worrying about celebrities. It's an entirely caring thing; it's not like the people who commission those photographs with cruel arrows to go on the covers of the celebrity magazines. The photographs show botched plastic surgery, raging eczema, weight gain and horrible clothes for maximum schadenfreude.”

“It was precisely this notion of infinite series which in the sixth century BC led the Greek philosopher Zeno to conclude that since an arrow shot towards a target first had to cover half the distance, and then half the remainder, and then half the remainder after that, and so on ad infinitum, the result was, as I will now demonstrate, that though an arrow is always approaching its target, it never quite gets there, and Saint Sebastian died of fright.”

“Cupid in these latter times has probably laid aside his bow and arrow, and uses fire-arms -- a pistol -- perhaps a revolver.”

“It is to be emphasized that no matter how many [amplitude] arrows we draw, add, or multiply, our objective is to calculate a single final arrow for the event . Mistakes are often made by physics students at first because they do not keep this important point in mind. They work for so long analyzing events involving a single photon that they begin to think that the arrow is somehow associated with the photon [rather than with the event].”

“The arrows of malevolence ... however barbed and well pointed, never can reach the most vulnerable part of me; though, whilst I am up as a mark, they will be continually aimed.”