Quotessence
Home / Topics / Mimi Quotes

Mimi Quotes

Browse 28 quotes about Mimi.

Mimi Quotes

“Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. 2 + 2 = 5. Umoja una sisi (ubinadamu), si mimi (ubinafsi). Watu wanne wakifanya kazi kwa ushirikiano watakuwa na nguvu ya watu watano! Watakuwa na nguvu ya ziada kufanikisha malengo kama vile kuwa na uwezo wa kusaidia jamii kama timu au kama mtu binafsi, kujenga jengo la ofisi, kutengeneza ziada katika masuala ya uchumi wa kampuni au nchi au wa mtu binafsi, ushindi katika kitu chochote kile, na kadhalika. Mimi ni ubinafsi. Sisi ni ubinadamu. Ubinafsi ni uvivu. Ubinadamu ni uchapakazi.”

“Kuna nguzo saba ambazo hazina budi kuzingatiwa kama unataka kuheshimiwa na kuwaheshimu wengine. Kwanza kabisa jitambue: wewe ni nani na unafanya nini hapa duniani. Halafu, kabla ya kusema jambo lolote kwa mtu yoyote fikiria kwanza maana au madhara ya hilo unalotaka kulisema. Kisha jifunze tamaduni mbalimbali na watendee wengine kama vile unavyotaka kutendewa au kama vile wanavyotaka kutendewa. Jifunze kusamehe na kusuluhisha migogoro katika jamii unamoishi huku ukidumisha heshima na utu kwa binadamu wenzako. Jijengee imani kwa watu, punguza upendeleo, fanya kazi kama timu kwani hakuna ‘mimi’ katika umoja ila kuna ‘sisi’, na jitahidi kwa kadiri ya uwezo wako WOTE kwa manufaa ya wote. Kuwa kiongozi katika kila jambo unalofanya na katika kila kitu unachofanya. Jitahidi kufanya jambo au kitu kwa usahihi kwa kadiri utakavyoweza.”

“Mimi na wewe na vitu vyote ulimwenguni ni wazito kwa sababu ya 'Higgs Boson', inayojulikana pia kama 'The God’s Particle'. Wanasayansi wa CERN wamekuwa wakiitafuta 'higgs' (iliyojificha ndani ya 'higgs field') kwa zaidi ya miaka hamsini sasa, kwa bajeti ya pauni za Uingereza bilioni sita. Chembe ya 'higgs' ikipatikana itawajulisha wanasayansi jinsi ulimwengu unavyofanya kazi na jinsi ulivyoumbwa, na jibu la kitendawili cha 'Standard Model' litapatikana.”

“Yusufu alikuwa hohehahe kabla na baada ya kuuzwa na nduguze kama mtumwa nchini Misri. Hakuwa na pesa, hakuwa na elimu, hakujuana na viongozi wa serikali. Lakini kwa vile alikuwa na Mungu, Mungu alimbariki mpaka watu wote wakashangaa. Yusufu alikuwa maskini ili mimi na wewe tuwe na tumaini leo, kwamba tukiwa na Mungu katika maisha yetu hatutatafuta utajiri. Utajiri ndiyo utakaotutafuta sisi.”

“That happened when I was a freshman in high school. The guy reading it [the Bible] was dating my older sister. I thought he was the cutest thing that had ever happened in Nashville. He was nine years older than me and I thought, 'Mimi, I hate to do this to you, but I'm going to steal this guy away.' So I went to this Bible study thinking I was going to make this guy fall in love with me. I was fourteen. Hey, you know. But I was so overwhelmed by what they were talking about at this Bible study. I became a very serious, committed Christian.”

“Every Valentine's Day, the student council sponsered a holiday fundraiser by selling roses that would be delievered in class. The roses came in four colors:white, yellow, red, pink, and the subtleties of thier meaning were parsed and analyzed by the female population to no end. Mimi had always understood it thus:white for love, yellow for friendship, red for passion, and pink for a secret crush.”

“Almost halfway down the aisle, she saw someone she wasn't expecting, and she almost stumbled on her satin heels. Kingsley Martin stood at the end of a pew, his arms crossed. He was wearing a tuxedo as well. Just like any other guest. What was he doing here? He was supposed to be in Paris! He was supposed to be gone! He looked directly at Mimi. She heard his voice loud and clear in her head. Leave him. Why should I? What do you promise me? Nothing. And everything. A life of danger and adventure. A chance to be yourself. Leave him. Come with me.”

“Kingsley smiled his Cheshire smile. And without a word, he called up the white darkness - the subvertio - a spell that unlocked what could not be unlocked, that destroyed what could not be destroyed. There was a rumbling, a shaking, like the strongest earthquake, and the iron gate crumbled, and the path began to melt. the demon shrieked, but Kingsley just looked at Mimi the entire time. "Azrael...”