“Yusufu alikuwa hohehahe kabla na baada ya kuuzwa na nduguze kama mtumwa nchini Misri. Hakuwa na pesa, hakuwa na elimu, hakujuana na viongozi wa serikali. Lakini kwa vile alikuwa na Mungu, Mungu alimbariki mpaka watu wote wakashangaa. Yusufu alikuwa maskini ili mimi na wewe tuwe na tumaini leo, kwamba tukiwa na Mungu katika maisha yetu hatutatafuta utajiri. Utajiri ndiyo utakaotutafuta sisi.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“Chasing angels or fleeing demons, go to the mountains.”
Source: Bringing Progress to Paradise: What I Got from Giving to a Mountain Village in Nepal
“हेलमेट हम पुलिस वालों से बचनेकेलिए नहीं , अपने घरवालों से मिलनेकेलिए पहनेंगे”
“The Engineer who Design a Helmet Needs to be a Doctor First”
Source: How Cycling Can Save the World