Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Yusufu alikuwa hohehahe kabla na baada ya kuuzwa na nduguze kama mtumwa nchini Misri. Hakuwa na pesa, hakuwa na elimu, hakujuana na viongozi wa serikali. Lakini kwa vile alikuwa na Mungu, Mungu alimbariki mpaka watu wote wakashangaa. Yusufu alikuwa maskini ili mimi na wewe tuwe na tumaini leo, kwamba tukiwa na Mungu katika maisha yetu hatutatafuta utajiri. Utajiri ndiyo utakaotutafuta sisi.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“War can condition a person to be resilient, tolerant, dependable, strong, and capable of so much more than one who had experienced nothing of it; it can bring out the very best in us, but also the very worst. Where is it, I ask, the proper conduit through which a soldier should be raised from whence they would become an upstanding citizen of the world, instead of a single country?”