Quotessence
Home / Topics / Professor Quotes

Professor Quotes

Browse 42 quotes about Professor.

Professor Quotes

“Kamishna … karibu," alisema Nafi huku akisimama na kutupa gazeti mezani na kuchukua karatasi ya faksi, iliyotumwa. "Ahsante. Kuna nini …" "Kamishna, imekuja faksi kutoka Oslo kama nilivyokueleza – katika simu. Inakutaka haraka, kesho, lazima kesho, kuwahi kikao Alhamisi mjini Copenhagen," alisema Nafi huku akimpa kamishna karatasi ya faksi. "Mjini Copenhagen!" alisema kamishna kwa kutoamini. "Ndiyo, kamishna … Sidhani kama kuna jambo la hatari lakini." "Nafi, nini kimetokea!" "Kamishna … sijui. Kwa kweli sijui. Ilipofika, hii faksi, kitu cha kwanza niliongea na watu wa WIS kupata uthibitisho wao. Nao hawajui. Huenda ni mauaji ya jana ya Meksiko. Hii ni siri kubwa ya tume kamishna, na ndiyo maana Oslo wakaingilia kati." "Ndiyo. Kila mtu ameyasikia mauaji ya Meksiko. Ni mabaya. Kinachonishangaza ni kwamba, jana niliongea na makamu … kuhusu mabadiliko ya katiba ya WODEA. Hakunambia chochote kuhusu mkutano wa kesho!" "Kamishna, nakusihi kuwa makini. Dalili zinaonyesha hali si nzuri hata kidogo. Hawa ni wadhalimu tu … wa madawa ya kulevya." "Vyema!" alijibu kamishna kwa jeuri na hasira. Halafu akaendelea, "Kuna cha ziada?" "Ijumaa, kama tulivyoongea wiki iliyopita, nasafiri kwenda Afrika Kusini." "Kikao kinafanyika Alhamisi, Nafi, huwezi kusafiri Ijumaa …" "Binti yangu atafukuzwa shule, kam …" "Nafi, ongea na chuo … wambie umepata dharura utaondoka Jumatatu; utawaona Jumanne … Fuata maadili ya kazi tafadhali. Safari yako si muhimu hivyo kulinganisha na tume!" "Sawa! Profesa. Niwie radhi, nimekuelewa, samahani sana. Samahani sana.”

“(prof.) Augustus était de nouveau sur moi ; tandis que sa bouche emplie de mots m’enserrait le cou avec sa puissance d’un lasso, ma voix parlait intérieurement. Dans l’air ambiant, ses mains ont pénétré les choses. J’étais seule, élue entre tous. J’avais accepté de relever le défi. Sérieux, dominant, Augustus a traversé l’estrade. Ses yeux, véritables planètes en orbite, ont décrit une révolution autour de moi. Il a lâché une question à laquelle aurait pu répondre avec flaccidité n’importe quelle taupe sortie du tunnel peu profond de lectures hégéliennes que nous explorions. Il a promené son regard sur des rares doigts levés, prêts à se risquer, comme s’il cherchait quelqu’un « en particulier ».”

“Your mind will discern in the moments of clarity. In the darkness and the labyrinth of your path there lies a direction which if you take will lead you to light and glory. You cannot give up the fight. You were born to win. God gives the hardest battles to the most capable warrior. You are the feared one. You are the bravest one. You are the mightiest one. March on Commander! ~ Call me the Professor, or Poet, or Avijeet, or Musafir.”

“From a social psychological standpoint, the selfie phenomenon seems to stem from two basic human motives. The first is to attract attention from other people. Because people’s positive social outcomes in life require that others know them, people are motivated to get and maintain social attention. By posting selfies, people can keep themselves in other people’s minds. In addition, like all photographs that are posted on line, selfies are used to convey a particular impression of oneself. Through the clothes one wears, one’s expression, staging of the physical setting, and the style of the photo, people can convey a particular public image of themselves, presumably one that they think will garner social rewards.”

“The assault on education began more than a century ago by industrialists and capitalists such as Andrew Carnegie. In 1891, Carnegie congratulated the graduates of the Pierce College of Business for being “fully occupied in obtaining a knowledge of shorthand and typewriting” rather than wasting time “upon dead languages.” The industrialist Richard Teller Crane was even more pointed in his 1911 dismissal of what humanists call the “life of the mind.” No one who has “a taste for literature has a right to be happy” because “the only men entitled to happiness… is those who are useful.” The arrival of industrialists on university boards of trustees began as early as the 1870s and the University of Pennsylvania’s Wharton School of Business offered the first academic credential in business administration in 1881. The capitalists, from the start, complained that universities were unprofitable. These early twentieth century capitalists, like heads of investment houses and hedge-fund managers, were, as Donoghue writes “motivated by an ethically based anti-intellectualism that transcended interest in the financial bottom line. Their distrust of the ideal of intellectual inquiry for its own sake, led them to insist that if universities were to be preserved at all, they must operate on a different set of principles from those governing the liberal arts.”

“Kiongozi wa kanda ya Afrika ya Kusini ya Tume ya Dunia Kamishna Profesa Justin Mafuru, alijitolea maisha yake kufanya vitu viwili vya msingi kwa ajili ya dunia: Kukomesha madawa haramu ya kulevya nchini Tanzania na duniani kwa jumla, kupitia Tume ya Dunia, na kutafuta kupitia maabara za CERN ('Conseil Européen pour la Recherche Nucléaire') chembe ndogo ya 'higgs' ('Higgs Boson') inayosemekana kuhusika na uzito ('mass') wa chembe ndogo kumi na sita za atomu kasoro chembe ya mwanga; iliyopotea mara tu baada ya mlipuko wa ulimwengu wa 'Big Bang', miaka bilioni kumi na tatu nukta saba iliyopita kwa faida ya uanadamu.”

“Your mind will discern in the moments of ambiguity. In the chaos and the quagmire that you will encounter. In the darkness and the labyrinth that you will come up against. There lies a direction which if you take will lead you to light and glory. You cannot give up the fight. You were born to win. You are the feared one. You are the bravest one. You are the mightiest one. March on Commander! ~ Call me the Professor, or Poet, or Avijeet, or Musafir.”

“The matron glanced at the old man and suppressed a smile. “He is absolutely miserable.” “I enjoy miserable. It gives one a contrast to all the delectabilities of life. But is he housebroken, inpala? He is rather rumpled. He will look well on my ship, but will he wash well? Do professors fray as a general rule? I will not have my ship looking ragged.” “They do tend to fade after a few years of hard use.”

“The rich won't win. They are pampered blokes. We have daily struggles. They don't even know what struggle is in life. We face adversities on a daily basis. They lead a life of luxury. We have to make choices for our survival. They don't know that they have to make any kind of choices. We have to take care of our families. They don't care. We have to fight on a daily basis to earn our pennies. They squander their money on stupid luxuries. We fight for survival. They give a damn to us and the world. ~ Call me the Professor or Poet or Avijeet or Musafir #JoinMe #Struggle #WethePeople”

“Dance history is not only an academic or artistic undertaking. Dance history is human history. Dance history explores the intersection of the collective narrative with the human body. You can not understand history of dance without understanding how dance is the individuation of collective storytelling." Marquita Burke De Jesus, Associate Professor in Dance”