Quotessence
Home / Topics / Thursday Quotes

Thursday Quotes

Browse 152 quotes about Thursday.

Related topics

Thursday Quotes

“Kamishna … karibu," alisema Nafi huku akisimama na kutupa gazeti mezani na kuchukua karatasi ya faksi, iliyotumwa. "Ahsante. Kuna nini …" "Kamishna, imekuja faksi kutoka Oslo kama nilivyokueleza – katika simu. Inakutaka haraka, kesho, lazima kesho, kuwahi kikao Alhamisi mjini Copenhagen," alisema Nafi huku akimpa kamishna karatasi ya faksi. "Mjini Copenhagen!" alisema kamishna kwa kutoamini. "Ndiyo, kamishna … Sidhani kama kuna jambo la hatari lakini." "Nafi, nini kimetokea!" "Kamishna … sijui. Kwa kweli sijui. Ilipofika, hii faksi, kitu cha kwanza niliongea na watu wa WIS kupata uthibitisho wao. Nao hawajui. Huenda ni mauaji ya jana ya Meksiko. Hii ni siri kubwa ya tume kamishna, na ndiyo maana Oslo wakaingilia kati." "Ndiyo. Kila mtu ameyasikia mauaji ya Meksiko. Ni mabaya. Kinachonishangaza ni kwamba, jana niliongea na makamu … kuhusu mabadiliko ya katiba ya WODEA. Hakunambia chochote kuhusu mkutano wa kesho!" "Kamishna, nakusihi kuwa makini. Dalili zinaonyesha hali si nzuri hata kidogo. Hawa ni wadhalimu tu … wa madawa ya kulevya." "Vyema!" alijibu kamishna kwa jeuri na hasira. Halafu akaendelea, "Kuna cha ziada?" "Ijumaa, kama tulivyoongea wiki iliyopita, nasafiri kwenda Afrika Kusini." "Kikao kinafanyika Alhamisi, Nafi, huwezi kusafiri Ijumaa …" "Binti yangu atafukuzwa shule, kam …" "Nafi, ongea na chuo … wambie umepata dharura utaondoka Jumatatu; utawaona Jumanne … Fuata maadili ya kazi tafadhali. Safari yako si muhimu hivyo kulinganisha na tume!" "Sawa! Profesa. Niwie radhi, nimekuelewa, samahani sana. Samahani sana.”

“But now I want to say things that comfort me and that are a little free. For example: Thursdat is a day transparent as an insect's wing in the light. Just as Monday is a compact day. Ultimately, far beyond thought, I live from these ideas, if ideas is what they are. They are sensations that transform into ideas because I must use words. Even just using them mentally. The primary thought thinks with words.”

“Meja Jenerali U Nanda, 60, Kiongozi wa Kanda ya Asia-Australia ya Tume ya Dunia ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya, alizaliwa Jumamosi ya tarehe 19/03/1932 kandokando ya mto huko Maubin nchini Bama. Yeye na familia yake ni waumini wa dini ya Ubuda. Mke wake, Daw Aung Phyu, ana miaka 57. Alizaliwa Jumapili ya tarehe 20/10/1935. Nanda na Aung Phyu wana watoto watatu. Ko Mahn Thiri (wa kiume na wa kwanza kuzaliwa) ana miaka 37. Alizaliwa Alhamisi ya tarehe 08/12/1955. Yeye na familia yake wanakaa nchini Tailandi. Ma Nang Nyi ni mtoto wa pili wa familia ya Nanda na Aung Phyu. Alikufa kwa madawa ya kulevya Jumamosi ya tarehe 12/05/1980 akiwa na miaka 23. Alizaliwa Jumamosi ya tarehe 06/04/1957. Miaka miwili baadaye mpenzi wake wa kiume, Ko San Pe, alikufa kwa madawa ya kulevya pia Jumatano ya tarehe 21/07/1982 akiwa na miaka 25. Alizaliwa Jumanne ya tarehe 29/01/1957. Ma Thida Wai Aung ni wa mwisho kuzaliwa. Ana miaka 34. Alizaliwa Jumatano ya tarehe 23/07/1958. Anakaa Rangoon na mume wake wa miaka sita na watoto wawili, wa kike na wa kiume. Saw Saya (Mkurugenzi wa Sekretarieti ya Kanda ya Asia-Australia ya Tume ya Dunia ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya, kutoka katika kabila la Karen) ndiye aliyempa taarifa U Nanda za kikao cha dharura cha Tume ya Dunia. Ana miaka 54. Alizaliwa Jumanne ya tarehe 01/03/1938.”

“Honestly, I never really understood the glorification of Fridays & weekends. I don't want to build a life and career, where I spent five days a week waiting for the weekend. No! I want to enjoy my life, and don't wish any weekday away. I want each day to matter to me, in some way, even if it's a small tiny way. I love my life. Everyday. That's the spirit we should convey all around us.”

“The hotel was once where things coalesced, where you could meet both townspeople and travelers. Not so in a motel. No matter how you build it, the motel remains the haunt of the quick and dirty, where the only locals are Chamber of Commerce boys every fourth Thursday. Who ever heard the returning traveler exclaim over one of the great motels of the world he stayed in? Motels can be big, but never grand.”

“I'm gonna say it one more time. We are Georgia Southern. Our colors are blue and white. We call ourselves the Bald Eagles. We call our offense the Georgia Power Companyand that's a terrific name for an offense. Our snap count is 'rate, hike.' We practice on the banks of Beautiful Eagle Creek and that's in Statesboro, Georgia-the gnat capital of America. Our weekends begin on Thursday. The co-eds outnumber the men 3 to 2. They're all good looking and they're all rich. And folks, you just can't beat that and you just can't beat Georgia Southern. And you ain't seen nothin yet!”

“THURSDAY, APRIL 5, 1894... I met with the Quorum and Presidency in the temple... President Woodruff then spoke... 'In searching out my genealogy I found about four hundred of my female kindred who were never married. I asked Pres. Young what I should do with them. He said for me to have them sealed to me unless there were more than 999 of them. The doctrine startled me, but I had it done.”

“What happens is that, you know, on Mondays, at least in the Senate, you know, Monday night wed have what youd call a bed-check vote. Just to get, you know, the machinery of the Senate up and running so they can start the committee process; on Tuesday morning, things go. By Thursday, you know, jet fumes, the smell of jet fumes.”

“You have to hope that [good things] happen to you. [...] That's the only thing we really, surely have, is hope. You hope that you can be alive, that things will happen to you that you'll actually witness, that you'll participate in. Rather than life just rolling over you, and you wake up and it's Thursday, and what happened to Monday? Whatever the best part of my life has been, has been as a result of that remembering.”

“What happened is I was going to college in 1950. L. A. City College. A guy I knew was going to an acting class on Thursday nights. He started telling me about all the good-lookin' chicks and said, "Why don't you go with me?" So I probably had some motivation beyond thoughts of being an actor. And sure enough, he was right. There were a lot of girls and not many guys. I said, "Yeah, they need me here." I wound up at Universal as a contract player.”