“Meja Jenerali U Nanda, 60, Kiongozi wa Kanda ya Asia-Australia ya Tume ya Dunia ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya, alizaliwa Jumamosi ya tarehe 19/03/1932 kandokando ya mto huko Maubin nchini Bama. Yeye na familia yake ni waumini wa dini ya Ubuda. Mke wake, Daw Aung Phyu, ana miaka 57. Alizaliwa Jumapili ya tarehe 20/10/1935. Nanda na Aung Phyu wana watoto watatu. Ko Mahn Thiri (wa kiume na wa kwanza kuzaliwa) ana miaka 37. Alizaliwa Alhamisi ya tarehe 08/12/1955. Yeye na familia yake wanakaa nchini Tailandi. Ma Nang Nyi ni mtoto wa pili wa familia ya Nanda na Aung Phyu. Alikufa kwa madawa ya kulevya Jumamosi ya tarehe 12/05/1980 akiwa na miaka 23. Alizaliwa Jumamosi ya tarehe 06/04/1957. Miaka miwili baadaye mpenzi wake wa kiume, Ko San Pe, alikufa kwa madawa ya kulevya pia Jumatano ya tarehe 21/07/1982 akiwa na miaka 25. Alizaliwa Jumanne ya tarehe 29/01/1957. Ma Thida Wai Aung ni wa mwisho kuzaliwa. Ana miaka 34. Alizaliwa Jumatano ya tarehe 23/07/1958. Anakaa Rangoon na mume wake wa miaka sita na watoto wawili, wa kike na wa kiume. Saw Saya (Mkurugenzi wa Sekretarieti ya Kanda ya Asia-Australia ya Tume ya Dunia ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya, kutoka katika kabila la Karen) ndiye aliyempa taarifa U Nanda za kikao cha dharura cha Tume ya Dunia. Ana miaka 54. Alizaliwa Jumanne ya tarehe 01/03/1938.” ChildrenReligionLeaderFamilyInformationBuddhismHusbandSundaySaturdayDarlingRiverTuesdayWednesdayThursdayFamiliaThailandNarcoticsWatotoTume Ya DuniaKiongozi2560DiniMadawa Ya KulevyaTaarifa2337JumapiliWorld CommissionJumatano54BamaJumanneNandaRangoon57AlhamisiAsia AustraliaKikao Cha DharuraMaubinMtoMumeTailandiU Nanda01 03 193806 04 195708 12 195512 05 198019 03 193220 10 193521 07 198223 07 195829 01 195734Aung PhyuDaw Aung PhyuJumamosiKo Mahn ThiriKo San PeMa Nang NyiMa Thida Wai AungMahn ThiriMajor General U NandaMeja Jenerali U NandaMpenziNang NyiSan PeSaw SayaThida Wai AungUbudha Author:Enock Maregesi
“Kwa sababu za kijiografia, Copenhagen iko mbele kwa masaa 9 (PST) kuilinganisha na Tijuana (kaskazini-magharibi mwa Meksiko) na masaa 7 (CST) kuilinganisha na Salina Cruz (kusini-magharibi mwa Meksiko). Mauaji ya Meksiko yametokea saa 4 usiku wa Jumanne, Copenhagen ikiwa saa 1 asubuhi Jumatano CET. Saa 5 usiku wa Jumanne, El Tigre anahamishwa (na ndege binafsi) kutoka katika milima ya Tijuana (alikokuwa amejificha) mpaka katika jumba la kifahari la Eduardo Chapa de Christopher (Mkurugenzi wa Usafirishaji wa Kolonia Santita) nje ya Salina Cruz – ambako Chui anafika saa 10 alfajiri na kuendesha kikao cha dharura cha Bodi ya Wakurugenzi ya Kolonia Santita.” MexicoTuesdayTigerCopenhagenPrivate JetMansionTijuanaMeksikoEl TigreSalina CruzEduardo Chapa De ChristopherJumanneKikao Cha Dharura04 00 Hrs22 00 Hrs23 00 Hrs7 Hours9 HoursChuiCstEmergence MeetingJumba La KifahariKaskazini MagharibiKusini MagharibiMasaa 7Masaa 9Mauaji Ya MeksikoMexican MassacreMilima Ya TijuanaNdege BinafsiNorth WestPstSaa 10 AlfajiriSaa 4 UsikuSaa 5 UsikuSouth WestTijuana Mountains Book:Kolonia Santita Source: Kolonia Santita