Quotessence
Home / Topics / Tuesday Quotes

Tuesday Quotes

Browse 223 quotes about Tuesday.

Related topics

Tuesday Quotes

“Kamishna … karibu," alisema Nafi huku akisimama na kutupa gazeti mezani na kuchukua karatasi ya faksi, iliyotumwa. "Ahsante. Kuna nini …" "Kamishna, imekuja faksi kutoka Oslo kama nilivyokueleza – katika simu. Inakutaka haraka, kesho, lazima kesho, kuwahi kikao Alhamisi mjini Copenhagen," alisema Nafi huku akimpa kamishna karatasi ya faksi. "Mjini Copenhagen!" alisema kamishna kwa kutoamini. "Ndiyo, kamishna … Sidhani kama kuna jambo la hatari lakini." "Nafi, nini kimetokea!" "Kamishna … sijui. Kwa kweli sijui. Ilipofika, hii faksi, kitu cha kwanza niliongea na watu wa WIS kupata uthibitisho wao. Nao hawajui. Huenda ni mauaji ya jana ya Meksiko. Hii ni siri kubwa ya tume kamishna, na ndiyo maana Oslo wakaingilia kati." "Ndiyo. Kila mtu ameyasikia mauaji ya Meksiko. Ni mabaya. Kinachonishangaza ni kwamba, jana niliongea na makamu … kuhusu mabadiliko ya katiba ya WODEA. Hakunambia chochote kuhusu mkutano wa kesho!" "Kamishna, nakusihi kuwa makini. Dalili zinaonyesha hali si nzuri hata kidogo. Hawa ni wadhalimu tu … wa madawa ya kulevya." "Vyema!" alijibu kamishna kwa jeuri na hasira. Halafu akaendelea, "Kuna cha ziada?" "Ijumaa, kama tulivyoongea wiki iliyopita, nasafiri kwenda Afrika Kusini." "Kikao kinafanyika Alhamisi, Nafi, huwezi kusafiri Ijumaa …" "Binti yangu atafukuzwa shule, kam …" "Nafi, ongea na chuo … wambie umepata dharura utaondoka Jumatatu; utawaona Jumanne … Fuata maadili ya kazi tafadhali. Safari yako si muhimu hivyo kulinganisha na tume!" "Sawa! Profesa. Niwie radhi, nimekuelewa, samahani sana. Samahani sana.”

“A few days later, Tuesday quietly crossed our apartment as I read a book and, after a nudge against my arm, put his head on my lap. As always, I immediately checked my mental state, trying to assess what was wrong. I knew a change in my biorhythms had brought Tuesday over, because he was always monitoring me, but I couldn't figure out what it was. Breathing? Okay. Pulse? Normal. Was I glazed or distracted? Was I lost in Iraq? Was a dark period descending? I didn't think so, but I knew something must be wrong, and I was starting to worry...until I looked into Tuesday's eyes. They were staring at me softly from under those big eyebrows, and there was nothing in them but love.”

“Meja Jenerali U Nanda, 60, Kiongozi wa Kanda ya Asia-Australia ya Tume ya Dunia ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya, alizaliwa Jumamosi ya tarehe 19/03/1932 kandokando ya mto huko Maubin nchini Bama. Yeye na familia yake ni waumini wa dini ya Ubuda. Mke wake, Daw Aung Phyu, ana miaka 57. Alizaliwa Jumapili ya tarehe 20/10/1935. Nanda na Aung Phyu wana watoto watatu. Ko Mahn Thiri (wa kiume na wa kwanza kuzaliwa) ana miaka 37. Alizaliwa Alhamisi ya tarehe 08/12/1955. Yeye na familia yake wanakaa nchini Tailandi. Ma Nang Nyi ni mtoto wa pili wa familia ya Nanda na Aung Phyu. Alikufa kwa madawa ya kulevya Jumamosi ya tarehe 12/05/1980 akiwa na miaka 23. Alizaliwa Jumamosi ya tarehe 06/04/1957. Miaka miwili baadaye mpenzi wake wa kiume, Ko San Pe, alikufa kwa madawa ya kulevya pia Jumatano ya tarehe 21/07/1982 akiwa na miaka 25. Alizaliwa Jumanne ya tarehe 29/01/1957. Ma Thida Wai Aung ni wa mwisho kuzaliwa. Ana miaka 34. Alizaliwa Jumatano ya tarehe 23/07/1958. Anakaa Rangoon na mume wake wa miaka sita na watoto wawili, wa kike na wa kiume. Saw Saya (Mkurugenzi wa Sekretarieti ya Kanda ya Asia-Australia ya Tume ya Dunia ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya, kutoka katika kabila la Karen) ndiye aliyempa taarifa U Nanda za kikao cha dharura cha Tume ya Dunia. Ana miaka 54. Alizaliwa Jumanne ya tarehe 01/03/1938.”

“Kwa sababu za kijiografia, Copenhagen iko mbele kwa masaa 9 (PST) kuilinganisha na Tijuana (kaskazini-magharibi mwa Meksiko) na masaa 7 (CST) kuilinganisha na Salina Cruz (kusini-magharibi mwa Meksiko). Mauaji ya Meksiko yametokea saa 4 usiku wa Jumanne, Copenhagen ikiwa saa 1 asubuhi Jumatano CET. Saa 5 usiku wa Jumanne, El Tigre anahamishwa (na ndege binafsi) kutoka katika milima ya Tijuana (alikokuwa amejificha) mpaka katika jumba la kifahari la Eduardo Chapa de Christopher (Mkurugenzi wa Usafirishaji wa Kolonia Santita) nje ya Salina Cruz – ambako Chui anafika saa 10 alfajiri na kuendesha kikao cha dharura cha Bodi ya Wakurugenzi ya Kolonia Santita.”

“Honestly, I never really understood the glorification of Fridays & weekends. I don't want to build a life and career, where I spent five days a week waiting for the weekend. No! I want to enjoy my life, and don't wish any weekday away. I want each day to matter to me, in some way, even if it's a small tiny way. I love my life. Everyday. That's the spirit we should convey all around us.”

“Adam Kuambiana umerudi nyumbani ulikotoka, ukiongozwa na imani na mwanga wa wale uliowapenda na kuwapoteza. Hatuwezi kukumbuka kwamba umetutoka bila kukumbuka kwamba uliishi, na kwamba maisha yako yalitupa kumbukumbu nzuri tusizoweza kuzisahau haraka. Jumanne, siku ya kuuaga mwili uliokuwa ukitumiwa na wewe, wengine watasema Kwa heri lakini mimi nitasema Asante! Asante kwa sababu ya kipaji chako. Asante kwa sababu ya kujitahidi kwa kadiri ya uwezo wako wote, kutoa sauti kwa wale wote waliokuwa hawawezi kusikika. Asante kwa sababu ya kuacha dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta wakati ukiingia, na Asante kwa sababu ya maisha yako. Tukiendelea kuomboleza kifo cha Adam Kuambiana hapa duniani, wengine wanasherehekea kukutana naye huko mbinguni. Mchungaji wa uhai wa wote Mungu wa mbinguni ailaze roho yake mahali pema peponi: Yeye ni mwandishi wa hadithi ya maisha yetu na ndiye aliyeandika ukurasa wa mwisho wa hadithi ya Adam.”

“Anyone who loved Tuesdays with Morrie should delight in reading The Five People You Meet in Heaven. Mitch Albom has populated his larger-than-life tale with memorable characters and filled it with the abundant warmth and wisdom that we've come to expect from this gifted storyteller.”

“The tragedy is that many of us are living desperate Christian life. Sunday comes and we get some strength, and then we lose some on Monday; a good deal is gone by Tuesday and we wonder whether we have anything left. On Wednesday it has all gone and then we exist. Or perhaps refreshment comes in some other way, some meeting we attend, some friends we meet. Now that is the old order of things, that is not the new. He puts a well within us. We are not always drawing from somewhere outside. The well, the spring, goes on springing up from within into everlasting life.”

“On any Tuesday morning, if asked, a good working scientist will tell you with some self-satisfaction that the affairs of his field are nicely in order, that things are finally looking clear and making sense, and all is well. But come back again on another Tuesday, and the roof may have just fallen in on his life's work.”

“An imbecile habit has arisen in modern controversy of saying that such and such a creed can be held in one age but cannot be held in another. Some dogma, we are told, was credible in the twelfth century, but is not credible in the twentieth. You might as well say that a certain philosophy can be believed on Mondays, but cannot be believed on Tuesdays. You might as well say of a view of the cosmos that it was suitable to half-past three, but not suitable to half-past four. What a man can believe depends upon his philosophy, not upon the clock or the century.”

“In 1988, as an unknown candidate, totally unknown, I won Iowa, came in second in New Hampshire, won South Dakota. I was ahead in every Super Tuesday state the day after South Dakota. The only problem was I didn't have enough money. I had a million dollars left, and Al Gore had three and Michael Dukakis had three and it was lights out.”

“The issue of gay marriage has reached the Supreme Court and observers are analyzing every detail to predict how each justice will vote. Experts say Chief Justice John Roberts is likely to rule in favor of gay marriage based on the fact that he spent Tuesday's hearings watching the Tony Award nominations.”

“Liverpool's grand opera also gave us some light comedy - on hearing the news that the house of goalkeeper Pepe Reina was burgled, and his Porsche stolen, while he was heroically saving penalties at Anfield, fans took a typically witty line: police were said to be interviewing a man from the West London area, a certain Frank Lampard, whose whereabouts on Tuesday between 7.45pm and 10.15pm are unknown. Indeed.”

“That's a big responsibility, and the details obsess me. And, also, I no longer feel I have to do the Tonight Show every time I open my mouth. Twenty years ago, I told myself I'd rather direct than act, and it's taken me this long. You lose your passion in acting. You make too many mistakes. Maybe that's why I make so many movies; if you don't like this one, another one's opening on Tuesday. But then I spent six months of my life on 'At Long Last Love,' a picture nobody saw. I enjoyed making it, I learned from it, I grew, but that's too much time out of my life.”

“Spirituality is best manifested on the ground, not in the air. Rapturous day-dreams, flights of heavenly fancy, longings to see the Invisible, are less expensive and less expressive than the plain doing of duty. To have bread excite thankfulness and a drink of water send the heart to God is better than sighs for the unattainable. To plow a straight furrow on Monday or dust a room well on Tuesday or kiss a bumped forehead on Wednesday is worth more than the most ecstatic thrill under Sunday eloquence. Spirituality is seeing God in common things, and showing God in common tasks.”

“Allowing an unimportant mistake to pass without a comment is a wonderful social grace ... Children who have the habit of constantly correcting should be stopped before they grow up to drive spouses and everyone else crazy by interrupting stories to say, 'No, dear -- it was Tuesday, not Wednesday.”

“What happens is that, you know, on Mondays, at least in the Senate, you know, Monday night wed have what youd call a bed-check vote. Just to get, you know, the machinery of the Senate up and running so they can start the committee process; on Tuesday morning, things go. By Thursday, you know, jet fumes, the smell of jet fumes.”