Quotessence
Home / Topics / Telephone Quotes

Telephone Quotes

Browse 24 quotes about Telephone.

Telephone Quotes

“Kamishna … karibu," alisema Nafi huku akisimama na kutupa gazeti mezani na kuchukua karatasi ya faksi, iliyotumwa. "Ahsante. Kuna nini …" "Kamishna, imekuja faksi kutoka Oslo kama nilivyokueleza – katika simu. Inakutaka haraka, kesho, lazima kesho, kuwahi kikao Alhamisi mjini Copenhagen," alisema Nafi huku akimpa kamishna karatasi ya faksi. "Mjini Copenhagen!" alisema kamishna kwa kutoamini. "Ndiyo, kamishna … Sidhani kama kuna jambo la hatari lakini." "Nafi, nini kimetokea!" "Kamishna … sijui. Kwa kweli sijui. Ilipofika, hii faksi, kitu cha kwanza niliongea na watu wa WIS kupata uthibitisho wao. Nao hawajui. Huenda ni mauaji ya jana ya Meksiko. Hii ni siri kubwa ya tume kamishna, na ndiyo maana Oslo wakaingilia kati." "Ndiyo. Kila mtu ameyasikia mauaji ya Meksiko. Ni mabaya. Kinachonishangaza ni kwamba, jana niliongea na makamu … kuhusu mabadiliko ya katiba ya WODEA. Hakunambia chochote kuhusu mkutano wa kesho!" "Kamishna, nakusihi kuwa makini. Dalili zinaonyesha hali si nzuri hata kidogo. Hawa ni wadhalimu tu … wa madawa ya kulevya." "Vyema!" alijibu kamishna kwa jeuri na hasira. Halafu akaendelea, "Kuna cha ziada?" "Ijumaa, kama tulivyoongea wiki iliyopita, nasafiri kwenda Afrika Kusini." "Kikao kinafanyika Alhamisi, Nafi, huwezi kusafiri Ijumaa …" "Binti yangu atafukuzwa shule, kam …" "Nafi, ongea na chuo … wambie umepata dharura utaondoka Jumatatu; utawaona Jumanne … Fuata maadili ya kazi tafadhali. Safari yako si muhimu hivyo kulinganisha na tume!" "Sawa! Profesa. Niwie radhi, nimekuelewa, samahani sana. Samahani sana.”

“Lakini kabla Rais hajaendelea kuongea, na ‘John Murphy wa Kolonia Santita’, Mogens aliruka na kumnyang’anya simu. “Ambilikile,” Mogens aliita, akiangalia saa. “Brodersen,” Sauti ya upande wa pili ilijibu, baada ya sekunde kumi. “60111906,” Mogens alisema, baada ya sekunde kumi. “57121906,” Sauti ya upande wa pili ikajibu, baada ya sekunde kumi. “Jumapili,” Mogens aliendelea, baada ya sekunde kumi. “Ijumaa,” Sauti ya upande wa pili ikajibu, baada ya sekunde kumi. John Murphy wa Kolonia Santita aliposema ‘Ijumaa’, Mogens aliunda kicheko na kurusha mkono katika matundu ya kuongelea ya simu ...”

“Athletes train 15 years for 15 seconds of performance. Ask them if they got lucky. Ask an athlete how he feels after a good workout. He will tell you that he feels spent. If he doesn't feel that way, it means he hasn't worked out to his maximum ability. Losers think life is unfair. They think only of their bad breaks. They don't consider that the person who is prepared and playing well still got the same bad breaks but overcame them. That is the difference. His threshold for tolerating pain becomes higher because in the end he is not training so much for the game but for his character. Alexander Graham Bell was desperately trying to invent a hearing aid for his partially deaf wife. He failed at inventing a hearing aid but in the process discovered the principles of the telephone. You wouldn't call someone like that lucky, would you?Good luck is when opportunity meets preparation. Without effort and preparation, lucky coincidences don't happen.”

“I heard the telephone tootling out in the hall and rose to attend it. “Bertram Wooster’s residence,” I said, having connected with the instrument. “Wooster in person at this end. Oh, hullo,” I added, for the voice that boomed over the wire was that of Mrs. Thomas Portalington Travers of Brinkley Court, Market Snodsbury, near Droitwich — or, putting it another way, my good and deserving Aunt Dahlia. “A very hearty pip-pip to you, old ancestor,” I said, well pleased, for she is a woman with whom it is always a privilege to chew the fat. “And a rousing toodle-oo to you, you young blot on the landscape,” she replied cordially.”

“It may sound ridiculous to say that Bell and his successors were the fathers of modern commercial architecture—of the skyscraper. But wait a minute. Take the Singer Building, the Flatiron Building, the Broad Exchange, the Trinity, or any of the giant office buildings. How many messages do you suppose go in and out of those buildings every day? Suppose there was no telephone and every message had to be carried by a personal messenger? How much room do you think the necessary elevators would leave for offices? Such structures would be an economic impossibility.”

“Calculating your BMI is relatively easy: You can visit one of the scores of online BMI calculators, or you can grab a calculator and calculate it on your own. To do so, multiply your weight in pounds by 703. Then divide that twice by your height in inches. For example, if you weigh 200 pounds and are 71 inches tall (five foot eleven), that would be (200 × 703) ÷ 71 ÷ 71 = 27.9, a BMI indicating that you would be, unfortunately, significantly overweight.”

“Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Israeli Daniel Yehuda Ben-Asher Ebenezer, Mhebrania aliyeishi Givat Ram, Jerusalem, na mke wake mrembo Hadara na mtoto wake mzuri Navah Ebenezer, alikuwa Ukanda wa Gaza siku alipopigiwa simu na Kiongozi wa Kanda ya Asia-Australia ya Tume ya Dunia U Nanda – kutoka Copenhagen kuhusiana na wito wa haraka wa kuonana na Rais wa Tume ya Dunia. Yehuda aliondoka usiku kwenda Yangon, Myama, ambapo alionana na U Nanda na kupewa maelekezo yote ya kikazi aliyotakiwa kuyafuata. Mbali na maelekezo yote ya kikazi aliyotakiwa kuyafuata, Nanda alimkabidhi Yehuda kachero wa Kolonia Santita Mandi Dickson Santana (bila kujua kama Mandi ni kachero wa Kolonia Santita) ili amsindikize mpaka stendi ya mabasi ya Maubin, nje ya Yangon. Baada ya hapo Yehuda alisafiri mpaka Copenhagen ambapo yeye na wenzake walikabidhiwa Operation Devil Cross, ya kung’oa mizizi ya Kolonia Santita duniani kote. Yehuda alifanya kosa kubwa kuonana na kachero wa Kolonia Santita Mandi Santana! Kwa sababu hiyo, sauti na picha ya Yehuda vilichukuliwa, watu wengi walikufa katika miji ya Copenhagen na Mexico City.”

“The discovery of the telephone has made us acquainted with many strange phenomena. It has enabled us, amongst other things, to establish beyond a doubt the fact that electric currents actually traverse the earth's crust. The theory that the earth acts as a great reservoir for electricity may be placed in the physicist's waste-paper basket, with phlogiston, the materiality of light, and other old-time hypotheses.”

“I had made up my mind to find that for which I was searching even if it required the remainder of my life. After innumerable failures I finally uncovered the principle for which I was searching, and I was astounded at its simplicity. I was still more astounded to discover the principle I had revealed not only beneficial in the construction of a mechanical hearing aid but it served as well as means of sending the sound of the voice over a wire. Another discovery which came out of my investigation was the fact that when a man gives his order to produce a definite result and stands by that order it seems to have the effect of giving him what might be termed a second sight which enables him to see right through ordinary problems. What this power is I cannot say; all I know is that it exists and it becomes available only when a man is in that state of mind in which he knows exactly what he wants and is fully determined not to quit until he finds it.”