Quotessence
Home / Topics / Chromosome Quotes

Chromosome Quotes

Browse 3 quotes about Chromosome.

Chromosome Quotes

“Kusudi mimba itungwe lazima kuwepo na kromosomu X na kromosomu Y. Kromosomu ni nyuzinyuzi katika kiini cha seli zenye jeni au DNA, ambazo hubeba taarifa kuhusu sifa za kimaumbile zinazorithishwa kwa kiumbe hai kutoka kwa mama na baba wa kiumbe hicho. Kwa upande wa Yesu Kristo, katika hali ya kawaida, kromosomu X ilitoka kwa Maria Magdalena na kromosomu Y ilitoka kwa malaika Gabrieli. Yesu alikuwa Myahudi lakini Kristo ni Mungu. Yesu Kristo alikuwa binadamu kama sisi, lakini alikuwa na utukufu na alikuwa na damu ya Mungu iliyotakasika. Damu kama hiyo ndiyo inayotiririka katika miili ya kila mmojawetu ijapokuwa ni damu ya Adamu, ambayo bado haijatakaswa. Damu ya Yesu si kitu kidogo. Ilipomwagika msalabani ilifunika dunia nzima. Ndiyo maana tukasamehewa. Bila damu hiyo, bila utukufu huo wa Mungu, hakuna binadamu atakayeokolewa, hakuna pepo atakayeondolewa.”

“Some say we are not like humans but we are more like them than we are different. Man and animals are in the same species as mammals as they have mammary glands that produce the milk to nurse their young. Their lungs breathe air and their blood is warm. They are vertebrates in that their skeletal system and well-designed spines hold their bodies together. Each cell is made of molecules, each molecule is made of atoms, and each atom is made of protons, neutrons and mostly electrons, which are made of waves of fibered light.”