“Vita ya Shetani na Mungu inatuathiri zaidi sisi wanadamu – na hapo baadaye itamuathiri Shetani pia. Vita hii haiwezi kuisha hadi siku ya mwisho, Yesu Kristo atakaporudi kuwachukua wateule wake. Pambana kwa njia ya maombi hadi siku ya mwisho kwa sababu adui tunayepambana naye hana muda wa kupumzika. Pambana kujiombea na kuwaombea wengine waliohai, na hata wale ambao bado hawajazaliwa, kabla mafuta ya dunia hii hayajalipuka. Usiishi kama adui wa msalaba wa Yesu Kristo, badala yake, ishi kama rafiki wa msalaba wa Yesu Kristo. Kuishi kama rafiki wa msalaba wa Yesu Kristo ni kupinga majivuno yote ya Shetani kwa upendo uliotukuka wa kujishusha au kujidharirisha, kutokutetereka hata kidogo na tamaa za ulimwengu huu kwa upendo mkubwa wa umaskini, na kutokuyumba wakati wa matatizo kwa sababu wakati wa amani ulijilimbikizia imani.” LoveNeedsHumansGodFaithPeaceEnemyPovertyPrideBattleJesus ChristSatanFightFriendVitaPrayersMunguShetaniAmaniYesu KristoMatatizoImaniUpendoWanadamuMaombiAduiUmaskiniRafikiDay Of JudgementPambanaMsalaba Wa Yesu KristoThe Cross Of Jesus ChristElectsSiku Ya MwishoWateuleMafuta Ya Dunia HiiMajivunoOil Of This WorldTamaa Za Ulimwengu HuuThe Desires Of This World Author:Enock Maregesi
“Kama Shetani hawezi kulala sisi tutalalaje? Pambana hadi siku ya mwisho.” SatanFightLast DayWeShetaniSisiPambanaSiku Ya Mwisho Author:Enock Maregesi
“Wakati ndege inapaa huwa inapambana na upepo. Lakini inapaa, hata hivyo.” LifeSuccessLandWindFightEnemiesMaishaPlaneMafanikioMaaduiTake OffAeroplaneNdegeTuaPambanaHeadwindPaaUpepoUpepo Wa Mbisho Author:Enock Maregesi
“Pambana na Shetani kwa upanga wa imani ambao ni ukweli kwani ukweli ndiyo utakaokuweka huru.” TruthFaithSatanFightFreeSwordShetaniImaniUkweliHuruPambanaUpanga Author:Enock Maregesi
“Usikate tamaa kabla ya kufa. Pambana.” Work HardDon T Give UpPambanaUsikate Tamaa Author:Enock Maregesi