“Mungu hakutuumba ili tuwe roboti, ambayo hufanya kazi kama ilivyoelekezwa. Alituumba ili tuwe huru. Yaani, tuwe na uwezo wa kuchagua mema au mabaya – ndiyo maana akaweka Mti wa Maarifa ya Mema na Mabaya katika Bustani ya Edeni – ndiyo maana akamtuma Shetani kuwajaribu Adamu na Hawa, wazazi wetu wa kwanza.” GodEvilCapacityGoodParentsSatanFreeMunguGarden Of EdenShetaniRobotUwezoMabayaMemaWazaziHuruBustani Ya EdeniMti Wa Maarifa Ya Mema Na MabayaOur First ParentsWazazi Wetu Wa KwanzaRoboti Author:Enock Maregesi
“Nilijifunza toka awali umuhimu wa kushindwa katika maisha ijapokuwa nilijitahidi sana, na nilipoendelea kushindwa niliweka nadhiri ya kufanya kitu kimoja kilicholeta maana zaidi katika maisha yangu nacho ni uandishi wa vitabu. Uandishi wa vitabu ndicho kitu pekee nilichokiweza zaidi kuliko vingine vyote na kuanzia hapo Mungu aliniweka huru. Nilijua mimi ni nani. Nilijua kwa nini nilizaliwa. Nilijifunza falsafa ya kuacha dunia katika hali nzuri kuliko nilivyoikuta – kwa sababu hata mimi nilikuwepo – na falsafa ya kushindwa si hiari. Maarifa hayo yakafanya niwe na heshima na upendo kwa watu wote.” PeopleWorldLoveLifePhilosophyGodKnowledgeFailureRespectImportanceMeaningFreeVowMunguDuniaMaishaWatuFailure Is Not An OptionMy LifeMaarifaUpendoHeshimaMaanaEarlierKushindwaMaisha YanguHuruNadhiriFalsafaKushindwa Si HiariAwaliBooks WritingUandishi Wa VitabuUmuhimu Author:Enock Maregesi
“Pambana na Shetani kwa upanga wa imani ambao ni ukweli kwani ukweli ndiyo utakaokuweka huru.” TruthFaithSatanFightFreeSwordShetaniImaniUkweliHuruPambanaUpanga Author:Enock Maregesi
“Ukitaka kujua kwa nini ya kila kitu endeleza nafsi yako kuwa huru!” Your SoulFreeEverythingWhyHuruKwa NiniNafsi YakoKila Kitu Author:Enock Maregesi