“Hasira ni Shetani. Hekima ni Mungu. Kila kitu kimo ndani yetu. Hasira imo ndani yetu. Hekima imo ndani yetu. Atomu ni matofali ya ujenzi wa kila kitu ulimwenguni likiwemo jua na miili ya wanadamu. Ndani ya atomu kuna nguvu ya chanya na kuna nguvu ya hasi. Kama miili yetu imetengenezwa na atomu na katika kila atomu kuna nguvu ya chanya na kuna nguvu ya hasi, hivyo basi, tuna uwezo mkubwa wa kufanya mambo mazuri na tuna uwezo mkubwa wa kufanya mambo mabaya. Mtu akikutukana mwambie asante. Akikupiga mwambie asante. Akiendelea kukupiga, pigana. Geuza hasira yako kuwa hekima kwa faida yako na kwa faida ya wengine.” GodWisdomUniverseEvilHuman BeingsSunPositiveBuildingNegativeAngerGoodSatanFightThank YouPersonOthersMunguBenefitShetaniMtuAtomUlimwenguHekimaMabayaHasiraWanadamuWengineBlocksJuaFaidaAtomuChanyaMazuriPiganaHasiAsanteMatofaliUjenzi Author:Enock Maregesi
“Mtu akikutukana mwambie asante. Akikupiga mwambie asante. Akiendelea kukupiga, pigana.” PowerfulPowerPraiseThanksManWomanFightThank YouPrayersMtuMaombiKuombaAppreciationsSifaKushukuruPiganaAsante Author:Enock Maregesi
“Usitukane kamwe. Pigana itakapobidi.” LifePowerfulPowerPraiseThanksInsultFightThank YouNeverPrayersRudenessAffrontEverMaombiKuombaAppreciationsSifaKushukuruPiganaDon T FightKamweUsipiganeUsitukane Author:Enock Maregesi
“Shetani hawezi kujua unafikiria nini: 1 Wafalme 8:39. Yesu anajua unafikiria nini: Yohana 2:25. Shetani haweza kufanya jambo bila ruhusa ya Mungu: Mathayo 4:1. Shetani hawezi kukulazimisha kutenda dhambi: Yakobo 4:7. Pigana na mwindaji wa roho hadi roho yako ikombolewe.” GodJesusSatanFightMunguShetaniYesuPiganaMwindaji Wa RohoSoul Hunter Author:Enock Maregesi
“Sheria wakati mwingine inaweza kuonea mtu. Pigana hata tone la mwisho kutetea haki yako.” LawFightSheriaPiganaYour RightHaki Yako Author:Enock Maregesi