“Hasira ni Shetani. Hekima ni Mungu. Kila kitu kimo ndani yetu. Hasira imo ndani yetu. Hekima imo ndani yetu. Atomu ni matofali ya ujenzi wa kila kitu ulimwenguni likiwemo jua na miili ya wanadamu. Ndani ya atomu kuna nguvu ya chanya na kuna nguvu ya hasi. Kama miili yetu imetengenezwa na atomu na katika kila atomu kuna nguvu ya chanya na kuna nguvu ya hasi, hivyo basi, tuna uwezo mkubwa wa kufanya mambo mazuri na tuna uwezo mkubwa wa kufanya mambo mabaya. Mtu akikutukana mwambie asante. Akikupiga mwambie asante. Akiendelea kukupiga, pigana. Geuza hasira yako kuwa hekima kwa faida yako na kwa faida ya wengine.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: The Least Envied
Source: Riding the Storm
Source: God Is in the Manger: Reflections on Advent and Christmas
“Is it justice to make evil, and then punish for it?”
Source: The Last of the Mohicans
“Hell is hell because, there, evil passes unremarked upon.”
Source: The Thousand Autumns of Jacob de Zoet
Source: The Evolution of Mara Dyer