Quotessence
Home / Topics / Will Of God Quotes

Will Of God Quotes

Browse 35 quotes about Will Of God.

Will Of God Quotes

“Kabla ya uasi, Mungu alimpa Shetani na wasaidizi wake ambao ni mapepo mamlaka makubwa juu ya kila kitu hapa duniani; kuanzia angahewa la dunia hadi ardhi ya dunia nzima nasi wakazi wake tukijumuishwa. Abadani tusisahau kwamba, kwa kiasi kikubwa, kupambana kwetu kama Paulo anavyosema ni dhidi ya hawa mapepo na mfalme wao ambaye ni Shetani. Tunaishi katika eneo ambapo hata wao wanaishi. Hawa mapepo wabaya huwatumia maadui wa msalaba wa Yesu Kristo kutekeleza mipango yao kwa lengo la kuwaangamiza marafiki wote wa msalaba wa Yesu Kristo, wanashawishiwa kwa kiasi kikubwa na hizo mamlaka za kimapepo, na kwa sababu wamedanganywa, hawajui hata kidogo kama Shetani anawatumia! Inawezekana hawajatwaliwa na mapepo lakini wanashawishiwa na mapepo kutenda kinyume na mapenzi ya Mungu kwa wanadamu wote.”

“Natafuta mwanamke mwenye utu, wema, uaminifu na tabia njema – sifa ambazo ataendelea kuwa nazo hata uzeeni. Sifa hizi zinaweza kubadilika kwa sababu ya maisha au kwa sababu ya mapenzi ya Mungu, lakini mabadiliko haya hayatakuwepo kwa haraka. Sura haidumu. Tabia hudumu.”

“Mwanampotevu dunia ilimfundisha ndiyo maana akarudi kwa baba yake akiwa amenyooka, hakuwa na maadili mema. Yusufu dunia ilimfundisha ndiyo maana akawa waziri mkuu wa Misri, na ndiyo maana akaokoa familia yake kutokana na njaa, alikuwa na maadili mema. Heri kudharaulika kwa kutenda mema kuliko kudharaulika kwa kutenda maovu. Ukidharaulika kwa kutenda maovu hutaishi sawasawa na mapenzi ya Mungu. Ukidharaulika kwa kutenda mema Mungu atakuinua.”

“Hakuna mtu mwenye akili timamu anayetaka mabaya katika maisha yake. Mwanamume atake mwanamke mwenye matendo mema. Mwanamke atake mwanamume mwenye matendo mema. Misingi ya hasanati ni misingi ya utu. Tukiishi katika misingi ya utu, misingi ya matendo mema, tutaishi sawasawa na mapenzi ya Mungu. Kila mtu anapaswa kuishi na mke au mume aliye mwema.”

“There is no other way to determine the difference between the will of God and the crafts of satan... Jesus is the way, the truth and the life... The Holy Spirit of God is the Comforter...”

“Kinachotokea katika dunia hii si kitu kizuri cha kuzoea au hata kufikiria. Hivyo tuna haki ya kuwa na mawazo, hasira na wanyonge kuhusiana na suala zima la maisha yetu hapa duniani. Hata hivyo hali hii itabaki kuwa hivyo kwa sababu Mungu ametaka iwe hivyo kwa sasa. Kwa maana hiyo, hekima ni kukubaliana na mapenzi ya Mungu. Lazima tukubaliane na kisichoweza kufikirika kuweza kubadilika.”

“She could now be sad without losing a jot of hope. Nay, rather, the least approach of sadness would begin at once to wake her hope. She regretted nothing that had come, nothing that had gone. She believed more and more that not anything worth having is ever lost; that even the most evanescent shades of feeling are safe for those who grow after their true nature, toward that for which they were made—in other and higher words, after the will of God.”

“True service is possible only when the self-conscious individual loses his egoistic sense of 'actorship' by merging his self-interest in the common weal and welfare of the world. Now his life-interest is identical with the interest of all. This exalted humility can be achieved by realizing the eternal fact that an omnipotent power, which is inherent in all creatures and beings, is actuating the individual life and all its actions. Humility leads to self-surrender, i.e., an attitude of submission to the will and purpose of God, who is the source of infinite power that controls all the movements in the universe.”

“Win or lose, the gods feast on our deeds. A man pets a stray, and his small pleasure in the act of kindness feeds Slaanesh. A woman strikes her crying child and that awful moment of elation she feels feeds Khorne. A Munitorum drone considers suicide. Nurgle grows fat on his despair. A merciful strategist devises a plan for bloodless victory, and Tzeentch is content. The Word Bearers think the gods crave worship. But the gods care for nothing save filling their bellies with our sorrows. Intentionally or not, we are all meat for the beast. Even you.”

“So how do you find out what God thinks? The Christian says, you look in the Bible. And the Bible tells us that God forbids homosexual acts. Therefore, they are wrong. So basically the reasoning goes like this: (1) We are all obligated to do God’s will. (2) God’s will is expressed in the Bible. (3) The Bible forbids homosexual behavior. (4) Therefore, homosexual behavior is against God’s will, or is wrong.”

“One of the questions asked by al-Balkhi, and often repeated to this day, is this: Why do the children of Israel continue to suffer? My grandmother Dodo thought it was because the goyim were jealous. The seder for Passover (which is a shame-faced simulacrum of a Hellenic question-and-answer session, even including the wine) tells the children that it's one of those things that happens to every Jewish generation. After the Shoah or Endlösung or Holocaust, many rabbis tried to tell the survivors that the immolation had been a punishment for 'exile,' or for insufficient attention to the Covenant. This explanation was something of a flop with those whose parents or children had been the raw material for the 'proof,' so for a time the professional interpreters of god's will went decently quiet. This interval of ambivalence lasted until the war of 1967, when it was announced that the divine purpose could be discerned after all. How wrong, how foolish, to have announced its discovery prematurely! The exile and the Shoah could now both be understood, as part of a heavenly if somewhat roundabout scheme to recover the Western Wall in Jerusalem and other pieces of biblically mandated real estate. I regard it as a matter of self-respect to spit in public on rationalizations of this kind. (They are almost as repellent, in their combination of arrogance, masochism, and affected false modesty, as Edith Stein's 'offer' of her life to expiate the regrettable unbelief in Jesus of her former fellow Jews.) The sage Jews are those who have put religion behind them and become in so many societies the leaven of the secular and the atheist.”

“Now what is the will of God? That's the big question. You can't say the will of God is to disrespect your fellow man. You can't say the will of God is to disrespect His creations, and you can't say the will of God is to disrespect the planet that you live on. You can say you're anything [any religion], but if your disrespect comes in any of those three categories, you're not anything, you're whack. I think the principles of religion start from there. Then you get into man's interpretation and bookology.”

“We often make the grave theological mistake of equating the sovereignty of God and everything happening in the earth realm as being 'His Will'.”

“God always ends up getting His way on the earth.”