“Mwanampotevu dunia ilimfundisha ndiyo maana akarudi kwa baba yake akiwa amenyooka, hakuwa na maadili mema. Yusufu dunia ilimfundisha ndiyo maana akawa waziri mkuu wa Misri, na ndiyo maana akaokoa familia yake kutokana na njaa, alikuwa na maadili mema. Heri kudharaulika kwa kutenda mema kuliko kudharaulika kwa kutenda maovu. Ukidharaulika kwa kutenda maovu hutaishi sawasawa na mapenzi ya Mungu. Ukidharaulika kwa kutenda mema Mungu atakuinua.” EvilFatherFamilyHungerBabaFamiliaProdigal SonJosephWill Of GodMapenzi Ya MunguGood ConductMaadili MemaNjaaYusufuMaovuTaught By The WorldDunia IlimfundishaEgypt Prime MinisterMwanampotevuThe Lost SonWaziri Mkuu Wa Misri Author:Enock Maregesi
“Wazazi wetu ni watu wa kuheshimu kuliko kitu kingine chochote kile kwa sababu wana uwezo wa kuona tusipoweza kuona. Yaani, wanajua kilichokuwepo kabla ya sisi kuzaliwa na wanajua kilichokuwepo baada ya sisi kuzaliwa. Maisha tuliyopitia, wazazi wetu walishapitia. Tulipokuwa, wazazi wetu walishakuwepo; na tulichofanya, wazazi wetu walishafanya. Hivyo, hatuna budi kuwaheshimu wazazi wetu. Lakini, wazazi wetu wanapaswa kujiheshimu kutufundisha adabu na maadili mema.” LifeRespectMaishaAdabuGood ConductMaadili MemaOur Parents Need RespectThey Can See Where We Can T SeeWanaweza Kuona Tusipoweza KuonaWazazi Wetu Ni Watu Wa Kuheshimu Author:Enock Maregesi
“Allow me to tell you, Mr Taylor," said I, but quietly as the occasion demanded, "that one gentleman does not rejoice at the misfortune of another in public".” CharacterGentlemanGood Conduct Author:William Golding