Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Wazazi wetu ni watu wa kuheshimu kuliko kitu kingine chochote kile kwa sababu wana uwezo wa kuona tusipoweza kuona. Yaani, wanajua kilichokuwepo kabla ya sisi kuzaliwa na wanajua kilichokuwepo baada ya sisi kuzaliwa. Maisha tuliyopitia, wazazi wetu walishapitia. Tulipokuwa, wazazi wetu walishakuwepo; na tulichofanya, wazazi wetu walishafanya. Hivyo, hatuna budi kuwaheshimu wazazi wetu. Lakini, wazazi wetu wanapaswa kujiheshimu kutufundisha adabu na maadili mema.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“Technology has changed the way we work, and consequently, our posture. Today, sitting has been referred to as the new smoking. This has been exacerbated by the development of handheld devices and the onset of 'tech neck'. Take the Peterson 21 day posture challenge for 'Confident Assured Posture' for a healthy future. Stand tall and live longer.”

“We must remain calm as parents and try not to lose control of ourselves, when we become parents. For how can we expect our kids to control themselves if we can’t do it? That seems unfair.”