Quotessence
Home / Topics / Foolish People Quotes

Foolish People Quotes

Browse 23 quotes about Foolish People.

Foolish People Quotes

“Mungu hutumia watu 'wajinga' na 'wapumbavu' kufanya mambo makubwa katika maisha yao na ya watu wengine. Katika Biblia, Musa aliitwa mjinga alipokiuka amri ya Farao ya kuendelea kuwafanya watumwa wana wa Israeli nchini Misri; Nuhu aliitwa mpumbavu alipohubiri kwa miaka mia kuhusu gharika, katika kipindi ambacho watu hawakujua mvua ni nini; Daudi aliitwa mjinga alipojitolea kupambana na Goliati bonge la mtu, shujaa wa Gathi; Yusufu aliitwa mjinga alipokataa kulala na mke wa bosi wake, baada ya kuwa ameuzwa na nduguze kama mtumwa nchini Misri; Abrahamu aliitwa mjinga alipoamua kuhama nchi aliyoipenda na kwenda katika nchi ya ahadi, eti kwa sababu Mungu alimwambia kufanya hivyo; Yesu aliitwa mjinga mpaka akasulubiwa aliposema yeye ni Mfalme na Mwana wa Mungu. LAKINI, Musa alitenganisha Bahari ya Shamu na kuwapeleka Waisraeli katika nchi ya ahadi, ambako aliwakomboa kutoka utumwani. Nuhu aliokoa dunia. Daudi alimshinda Goliati. Yusufu aliokoa familia yake kutokana na njaa. Abrahamu alikuwa baba wa imani. Yesu aliyashinda mauti. Wakati mwingine tunatakiwa kufanya mambo makubwa kulingana na jinsi Roho Mtakatifu anavyotutuma, bila kujali watu au dunia itasemaje.”

“Don’t try to prove that anybody is foolish because fools don’t like it. Don’t try to prove to a madman that he is mad, because no madman likes it. He will get angry, arrogant, aggressive. He will kill you if you prove too much. If you come to the point where it can be proved, he will take revenge. It is better to be foolish yourself, then people enjoy you, and then by a very subtle methodology you can help them change. Then they are not against you.”

“A man who is deprived of criticisms is a miserable and a poor man; a man who ignores or refuses or fears criticisms is a foolish man!”

“The world is full of fools and foolishness; the mission of every clever man is to watch the fools from a distance and develop sound plans to repair the damages created by them!”