“Musa alipokuwa mlimani kupokea Amri Kumi za Mungu kwa ajili ya Wana wa Israeli alikawia sana kurudi, kiasi cha watu kukata tamaa na kujiona wapweke wakiwa njiani kuelekea katika Nchi ya Ahadi. Kutokana na woga usio na kifani na kukata huko kwa tamaa waliamua kutosubiri tena kusikia neno kutoka kwa Mungu, au kuiona sura halisi ya Mungu kama Musa alivyokuwa amewaahidi, hivyo wakamlazimisha Haruni awatengenezee mungu kutokana na taswira ambayo tayari walishakuwa nayo vichwani mwao kuhusu mungu waliyemtaka; yaani ndama wa dhahabu, au mungu mpya ambaye angewapa chochote walichotaka muda wowote waliotaka.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“…but it is in despair that the most burning pleasures occur…”
Source: Notes from Underground, White Nights, The Dream of a Ridiculous Man, and Selections from The House of the Dead
Source: The Devil and Miss Prym
“Целите в живота са най-добрата защита срещу смъртта - и не само в концлагера.”
Source: The Drowned and the Saved
“I have experienced deep despair, mental-ill health and attempt of suicide.”