“Mawazo ya kukata tamaa yanaweza kusababisha tukamtengeneza au kumbuni tena Mungu kwa mfano wetu sisi wenyewe, mfano ambao kwa kawaida ni tofauti kabisa na mfano unaozungumzwa ndani ya Biblia. Hivyo tunaishia kutumikia mfano badala ya kumtumikia Mungu wa kweli.” IdeasGodDespairBibleImageMunguTrue GodBibliaMawazoKukata TamaaMfanoOur ImageMfano WetuMungu Wa Kweli Author:Enock Maregesi