Filter quotes by topic
Famous Enock Maregesi Quotes
“Shetani angekuwa na uwezo wa kuona ndani ya moyo wa mtu, binadamu angeshatengeneza moyo.”
“Shetani angekuwa na uwezo wa kuona ndani ya ufahamu wa mtu, binadamu angeshatengeneza ubongo.”
“Shetani akikupa hela chukua. Hiyo hela ameiiba kutoka kwa Baba. Ukishaichukua, toa zaka.”
“Shetani ni profesa wa saikolojia! Lakini, ukiwa msiri, hatakupata.”
“Kama Shetani hawezi kulala sisi tutalalaje? Pambana hadi siku ya mwisho.”
“Pambana na Shetani kwa upanga wa imani ambao ni ukweli kwani ukweli ndiyo utakaokuweka huru.”