“Shetani na wafuasi wake wako kifungoni sasa hivi kwa sababu dhambi walizotenda hazisameheki. Dhambi ya kumkana Mungu na kumkubali Shetani haisameheki. Kwa maana nyingine, ukimuuzia Shetani roho yako jina lako halitaandikwa katika kitabu cha uzima litaandikwa katika kitabu cha mauti. Ukibidika kuuza roho, usimuuzie Shetani, muuzie Yesu.” SoulGodJesusDevilSatanFollowersImprisonmentMunguSinsShetaniYesuDhambiRohoIbilisiThe Book Of LifeWafuasiKifungoniKitabu Cha MautiKitabu Cha UzimaThe Book Of Death Author:Enock Maregesi