“Wanasayansi wanaamini kuwa Yesu atarudi tarehe 29 Julai 2016. Tarehe hiyo kitu kikubwa sana kitatokea katika dunia yetu kitakachosababisha tetemeko kubwa la ardhi, litakalosababishwa na kubadilika kwa ncha za dunia, tendo litakalosababisha mionzi ya gama kutoka kwenye jua ifike duniani na kuua kila kitu kinachoonekana katika uso wa dunia hii. Watakatifu watafufuka na kumlaki Kristo mawinguni, ambaye anakuja kuwachukua wateule na kumweka Shetani kifungoni kwa miaka 1000. Hayo yote, wanasema, yatatokea ndani ya siku 11 kuanzia leo. Yaani, kusini mwa dunia kutakuwa kaskazini mwa dunia, kaskazini mwa dunia kutakuwa kusini mwa dunia. Kitendo hicho kitafanya dunia ikose kinga ya sumaku iitwayo ‘magnetosphere’ ambayo hukinga dunia dhidi ya mionzi ya gama kutoka kwenye jua. Mionzi hiyo hugonga ukuta wa ‘magnetosphere’ kila baada ya dakika 8 kwa mwendokasi wa kilometa milioni 1080 kwa saa; na kusambazwa katika ncha za dunia ambapo aghalabu huchanganyikana na oksijeni na kutengeneza kitu kinaitwa ‘aurora’, au mwanga wa ncha, ambacho ni maajabu mengine ya angani. Mwaka 2012 wanasayansi walisema ncha za dunia zingebadilika lakini hazikubadilika. Je, muda umefika sasa wa kuwaamini wanasayansi? Biblia ni chuo cha Mungu. Soma Biblia kupata maarifa.” WorldJesusChristKnowledgeSunBibleSatanOxygenScientistsSaintsDuniaShetaniWondersAurora2012BibliaEarthquakeYesuMaarifaJuaKristoWanasayansiOksijeni1000 YearsMaajabuMiaka 1000WatakatifuElectsMwaka 2012Wateule1080 Million Kilometers Per Hour29th July 20168 MinutesChuo Cha MunguDakika 8Gamma Rays RadiationsGod S CollegeKaskazini Mwa DuniaKilometa Milioni 1080 Kwa SaaKinga Ya SumakuKusini Mwa DuniaMagnetosphereMionzi Ya GamaMwanga Wa NchaNcha Za DuniaNorthern WorldSouthern WorldTarehe 29 Julai 2016Tetemeko La ArdhiWorld Poles Author:Enock Maregesi