Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Kwa vile hatasamehewa, Shetani hatawasamehe wanadamu. Atahakikisha anauwa kila mtu duniani na kumpeleka kuzimu; ambako anaishi yeye, majini, malaika waovu, wana wa Mungu waliotumwa na Mungu kuja duniani kufundisha watu utukufu lakini wakaasi na Mungu akawalaani (au Wanefili) pamoja na nguva. Nguva ni uzao wa Wanefili na samaki wa baharini na malaika wauvu na wanapatikana zaidi katika Bahari ya Atlantiki, ambako mkuu wake ni Malkia wa Pwani, na katika Bahari ya Hindi ambako mkuu wake ni Malkia wa Bahari ya Hindi. Chini ya Bahari ya Hindi ndipo yalipo makao makuu ya ufalme wa giza hapa duniani.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“My ship – the Demeter, was a star-liner operated by the Red Star Line. I say ‘was’ because of the events you will read about in this account. This is a long letter, I know, but I had quite a long time to write it. You probably already know this, having seen the commercials running on all the major channels for the last twenty years or so, but the Red Star Line is the largest cruise operator in the known universe. Unless something has changed between now and by the time you read this, this is probably still true. In fact, customers of the Red Star Line get more quality, value for money – and smiles by Demeter than they do anywhere else. Okay, okay. It’s an old joke – corny for sure, but what the hell.”

“​Per me si va ne la città dolente, Per me si va ne l'etterno dolore, Per me si va tra la perduta gente. Giustizia mosse il mio alto fattore: Fecemi la divina potestate La somma sapienza e'l primo amore Dinanzi a me non fuor cose create se non etterne, e io etterno duro. Lasciate ogni speranza, voi ch'intrate.”

“Each person carries around in himself a terrible other world of hell and the unknown. It is an enormous pit reaching below the deepest crater of the earth, or it is the thinnest air far beyond the moon. But it is frightening and essentially “unlike” man as he knows himself familiarly, so we spend all our days living at the other antipodes of ourself.”