“Kwa vile hatasamehewa, Shetani hatawasamehe wanadamu. Atahakikisha anauwa kila mtu duniani na kumpeleka kuzimu; ambako anaishi yeye, majini, malaika waovu, wana wa Mungu waliotumwa na Mungu kuja duniani kufundisha watu utukufu lakini wakaasi na Mungu akawalaani (au Wanefili) pamoja na nguva. Nguva ni uzao wa Wanefili na samaki wa baharini na malaika wauvu na wanapatikana zaidi katika Bahari ya Atlantiki, ambako mkuu wake ni Malkia wa Pwani, na katika Bahari ya Hindi ambako mkuu wake ni Malkia wa Bahari ya Hindi. Chini ya Bahari ya Hindi ndipo yalipo makao makuu ya ufalme wa giza hapa duniani.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: Space Sucks!
“People say things are going to be Hell without even the slightest notion of what Hell is.”
Source: Veiled
“I’ve been going through my own personal hell.”
Source: What I Love About Dublin
“Culture is a fibreglass condom suit - highly restrictive, uncomfortable and itchy as hell.”
Source: Sex, Death, Drugs & Madness
Source: Space Vacation
Source: Skyshaker
Source: The Divine Comedy: Inferno - Purgatorio - Paradiso
Source: Pearls Of Eternity
“Archie asked me if I knew Dante's definition of hell..."Proximity without intimacy," he said.”
Source: The Girls' Guide to Hunting and Fishing