“Shetani hawezi kusoma ndani ya mioyo ya wanadamu mpaka wanadamu wenyewe wamwonyeshe. Ukionyesha tamaa ya ngono, Shetani atakupa ngono. Ukionyesha tamaa ya ulevi, Shetani atakupa ulevi. Ukionyesha tamaa ya wizi, Shetani atakupa wizi. Ukionyesha tamaa ya chuki, Shetani atakupa chuki. Ukionyesha tamaa ya upendo, Mungu atakupa upendo. Kama kuna ubishi kati ya moyo wako na akili yako, fuata moyo wako.” MindHumansHeartGodSatanFollow Your HeartHeartsContentionMunguShetaniSexual DesireMoyoAkiliWanadamuTamaa Ya NgonoTamaa Ya UleviTamaa Ya WiziDesire Of AlcoholismDesire Of HatredDesire Of LoveDesire Of TheftFuata Moyo WakoMioyoTamaa Ya ChukiTamaa Ya UpendoUbishi Author:Enock Maregesi