Filter quotes by topic
Famous Enock Maregesi Quotes
“Taifa ni malaika! Taifa ni Shetani! Laana ya mwenye haki ina haki.”
“Shetani hawezi kuona wala kusikia kinachoendelea ndani ya moyo wako.”
“Bila kiburi hutamshinda Shetani, lakini kiburi dhidi ya Shetani unakishinda kwa hekima.”
“Roho ikikua itajua hiki ni cha Mungu na hiki ni cha Shetani! Chaguo ni lako.”
“Kama Mungu na Shetani hawako ndani yako, hiyo vita ya kiroho unaipigania wapi?”
“Shetani lengo lake ni kutawala dunia. Huwezi kutawala dunia bila elimu!”