“Pesa ikitolewa kwa masharti mazuri chukua, kama masharti ya kibenki, si masharti mabaya kama ya kiganga, huyo anayeitoa si ya kwake. Pesa mbaya imebarikiwa na Shetani, ukiichukua umeingia agano na Shetani, jambo ambalo Mungu hapendi. Chukua pesa kutoka kwa mtu unayemjua ambaye hana masharti au hana masharti ya kishetani, au usiyemjua.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“Shetani lengo lake ni kutawala dunia. Huwezi kutawala dunia bila elimu!”
“One thing I've found to be helpful is the understanding that things are not going to be easy.”
Source: A Lil' Bert Can't Hurt: Words and Wisdom for Daily Life