“Shetani anaweza kukudanganya kwa kukuambia ombeni bila kukoma, wewe ukakesha kuomba na kesho ukaendesha gari lako kuelekea kazini ambako una kikao cha muhimu hali kadhalika. Ukifika kazini unasinzia kwenye kikao unaonekana teja, kumbe ni kazi ya Ibilisi. Tujifunze namna ya kuzipima roho, si kila roho inatoka kwa Mungu.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“Shetani lengo lake ni kutawala dunia. Huwezi kutawala dunia bila elimu!”
“One thing I've found to be helpful is the understanding that things are not going to be easy.”
Source: A Lil' Bert Can't Hurt: Words and Wisdom for Daily Life