Quotessence
Home / Topics / Second Coming Of Jesus Quotes

Second Coming Of Jesus Quotes

Browse 3 quotes about Second Coming Of Jesus.

Second Coming Of Jesus Quotes

“The Son of Man is not just a figure on a throne. It is a pattern that repeats, a collective revelation, a neural and cultural tipping point that transfigures those who have ears to hear. And that pattern is emerging now, under our skin and in our systems, because the ego is breaking.”

“Shetani anaogopa viumbe saba tu hapa duniani na huko mbinguni ukimwondoa Mungu, ambaye anaogopwa na kila kiumbe: Malaika Mikaeli, Malaika Gabrieli, Malaika Rafaeli, Malaika Urieli, Malaika Selafieli, Malaika Ragueli, na Malaika Barakieli, ambao ni malaika wakuu; na tukio ambalo Shetani analiogopa zaidi ni tukio la kurudi kwa Yesu kwa mara ya pili ambalo limekaribia sana, na atafanya kila atakachoweza kabla ya tukio hilo kuchukua roho zetu. Lengo la Shetani ni kuua kila mtu duniani kumkomoa Mungu na malaika wakuu na kutupeleka kuzimu. Lakini atashindwa kwa jina la Yesu.”