“Shetani anaogopa viumbe saba tu hapa duniani na huko mbinguni ukimwondoa Mungu, ambaye anaogopwa na kila kiumbe: Malaika Mikaeli, Malaika Gabrieli, Malaika Rafaeli, Malaika Urieli, Malaika Selafieli, Malaika Ragueli, na Malaika Barakieli, ambao ni malaika wakuu; na tukio ambalo Shetani analiogopa zaidi ni tukio la kurudi kwa Yesu kwa mara ya pili ambalo limekaribia sana, na atafanya kila atakachoweza kabla ya tukio hilo kuchukua roho zetu. Lengo la Shetani ni kuua kila mtu duniani kumkomoa Mungu na malaika wakuu na kutupeleka kuzimu. Lakini atashindwa kwa jina la Yesu.” GodHeavenHellSatanAngelsMunguThe WorldShetaniCreatureArchangelsMbinguniMalaikaDunianiKuzimuSecond Coming Of JesusIn The Name Of JesusAngel BarachielAngel GabrielAngel MichaelAngel Raguel Or AngelAngel RaphaelAngel SelaphielAngel UrielJegudielKiumbeKurudi Kwa Yesu Kwa Mara Ya PiliKwa Jina La YesuLengo La ShetaniMalaika BarakieliMalaika GabrieliMalaika MikaeliMalaika RafaeliMalaika RagueliMalaika SelafieliMalaika UrieliMalaika WakuuOur SoulsRoho ZetuSeven CreaturesThe Objective Of The DevilViumbe Saba Author:Enock Maregesi