“Shetani anaogopa viumbe saba tu hapa duniani na huko mbinguni ukimwondoa Mungu, ambaye anaogopwa na kila kiumbe: Malaika Mikaeli, Malaika Gabrieli, Malaika Rafaeli, Malaika Urieli, Malaika Selafieli, Malaika Ragueli, na Malaika Barakieli, ambao ni malaika wakuu; na tukio ambalo Shetani analiogopa zaidi ni tukio la kurudi kwa Yesu kwa mara ya pili ambalo limekaribia sana, na atafanya kila atakachoweza kabla ya tukio hilo kuchukua roho zetu. Lengo la Shetani ni kuua kila mtu duniani kumkomoa Mungu na malaika wakuu na kutupeleka kuzimu. Lakini atashindwa kwa jina la Yesu.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“When you kiss, my world falls apart Heaven comes down to woo my heart”
“Heaven shows up all the time. But we plan our time so that we show up in other places.”
“[Е]сли знаешь, куда смотреть, Флоренция ничем не хуже небес [271].”
Source: Inferno
Source: Desperately Deep
“إن كان في حياتك تمّة شئٌ يستحقُ التأجيل ... فليكن التأجيلُ نفسُه”
Source: الكلاب لا تأكل الشيكولاتة