Quotessence
Home / Topics / Messiah Quotes

Messiah Quotes

Browse 263 quotes about Messiah.

Related topics

Messiah Quotes

“While 'clear' evidence points to the suspect from the onset (before he is contacted), 'cloaked' evidence points to the suspect only in hindsight (after he is identified)...The cloaked prophecies are limited in their ability to *point* us to the Messiah. They may, however, help or *confirm* his identity once we have him in view.”

“What is the difference between my view and the classical Christian perspective? I am convinced that there are not multiple comings and multiple returns of Christ, but only one decisive coming at the end of the world, which includes the resurrection, the rapture, and his appearance in the sky!”

“Mine is the only view that appropriately combines the end-time messianic expectations of the Jews with Christian scripture.”

“Kuna mambo yanatokea hapa ulimwenguni ambayo yanafanya nikiri uwepo wa Mungu kwa asilimia kubwa. Wanasayansi wanasema ulimwengu ulianzishwa na mlipuko wa ‘Big Bang’, uliotokea takribani miaka bilioni 14 iliyopita, kutoka katika kitu kidogo zaidi kuliko ncha ya sindano, lakini hawatuambii nini kilisababisha mlipuko huo utokee au hicho kitu kidogo kuliko ncha ya sindano kilitoka au kilikuwa wapi. Wanaendelea kusema kuwa baada ya ‘Big Bang’ kutakuwepo na ‘Big Crunch’, ambapo ulimwengu utarudia hali yake ya awali ya udogo kuliko ncha ya sindano, na kila kitu kinachoonekana leo ulimwenguni hakitaonekana tena. Hapo sasa ndipo utata unapokuja. Mlipuko wa ‘Big Bang’ ulipotokea ulimwengu ulilipuka na kusambaa pande zote nne za ulimwengu kwa mwendokasi wa zaidi ya kilometa milioni 2 kwa saa, mpaka hivi leo unavyoonekana na bado unaendelea kusambaa. Kutokana na dhana ya ‘Big Crunch’, wanasayansi wanaamini ulimwengu utapanuka ila baadaye utapungua mwendo na utarudi mwanzo kabisa mahali ulipolipukia. Lakini mwaka 1995 wanasayansi hao hao waligundua kitu. Ulimwengu – badala ya kupungua mwendo wa kupanuka kama wanasayansi walivyokuwa wakitabiri – sasa unaongeza mwendo, tena kwa mwendokasi ambao haujawahi kutokea. Hiki ni nini kinachosababisha ulimwengu uongeze mwendokasi kiasi hicho badala ya kuupunguza? Hicho ni nini ambacho ulimwengu unapanukia? Wanasayansi hawana jibu. Wanasingizia kitu kinaitwa ‘dark matter’, maada ambayo haijawahi kuonekana, kwamba ndicho kinachosababisha ulimwengu uongeze mwendokasi kwa kiwango hicho ambacho hakijawahi kutokea; na hicho ambacho ulimwengu unapanukia wanahisi ulimwengu wetu unapanukia katika ulimwengu mwingine, kwa mujibu wa dhana nyingine kabisa iitwayo ‘multiverse’ au ‘meta-universe’. Kuna kitu kinaitwa ‘Higgs boson’ – chembe ndogo inayosemekana kuhusika na uzito (‘mass’) wa chembe ndogo 16 zilizomo ndani ya atomu, kasoro chembe ya mwanga, iliyopotea mara tu baada ya mlipuko wa ulimwengu wa ‘Big Bang’ miaka bilioni 13.7 iliyopita katika kipindi kilichoitwa ‘epoch’ – ambayo ilianza kutafutwa katika maabara za CERN, Uswisi, toka mwaka 1964, maabara ambazo kazi yake kubwa ni kutengeneza mazingira ya mwanzo kabisa ya mlipuko wa ‘Big Bang’, kusudi wanasayansi waone kama wanaweza kubahatisha kuiona na kuidhibiti hiyo bosoni. Bosoni itakapopatikana wanasayansi watajua siri ya ‘dark matter’, watajua jinsi ulimwengu unavyofanya kazi na jinsi ulivyoumbwa na jibu la kitendawili cha ‘Standard Model’ litapatikana. Hiyo ni kazi ngumu. Ndiyo maana ‘Higgs boson’ mwaka 1993 iliitwa ‘The God Particle’. Yaani, wanasayansi wanahisi kuna muujiza wa Kimungu na huenda wasiipate kabisa hiyo bosoni. Wanasema waliipata mwaka 2013. Lakini hiyo waliyoipata bado ina utata. Kutokana na kushindwa huko kwa sayansi na historia, kutokana na kushindwa kwa sayansi kutengeneza binadamu au mnyama, kutokana na miujiza iliyorekodiwa katika vitabu vitakatifu; naamini, Mungu yupo.”

“Wanasayansi wana uwezo wa kupeleleza hadi kipindi cha karne ya kwanza ambapo Yesu aliishi, alikufa, alifufuka na alipaa kwenda mbinguni, na wana uwezo wa kujua mambo mengi kwa hakika yaliyofanyika katika kipindi hicho na hata katika kipindi cha kabla ya hapo. Kuna miujiza ambayo Yesu aliifanya ambayo haiko ndani ya Biblia. Kwa mfano, Biblia inasema Yesu alizaliwa ndani ya zizi la ng’ombe wakati sayansi inasema alizaliwa nje ya zizi la ng’ombe; na muujiza wa kwanza kuufanya ambao hauko ndani ya Biblia ni kutembea mara tu baada ya kuzaliwa, na watu na ndege wa angani kuganda kabla ya kuzaliwa Masihi na kabla ya wakunga kufika kumsaidia Maria Magdalena kujifungua. Akiwa na umri wa miaka sita, sayansi inasema, Yesu alikuwa akicheza na mtoto mwenzake juu ya paa la nyumba ya jirani na mara Yesu akamsukuma mwenzake kutoka juu hadi chini na mwenzake huyo akafariki papo hapo. Watu walipomsonga sana Yesu kwa kumtuhumu kuwa yeye ndiye aliyesababisha kifo cha mwenzake, na kwamba wangemfungulia mashtaka, Yesu alikataa katakata kuhusika na kifo hicho. Lakini walipozidi kumsonga, aliusogelea mwili wa rafiki yake kisha akamwita na kumwambia asimame. Yule mtoto alisimama! Huo ukawa muujiza mkubwa wa kwanza wa Yesu Kristo, kufufua mtu nje ya maandiko matakatifu. Kuna mifano mingi inayodhihirisha uwepo wa Mungu ambayo wanasayansi hawawezi hata kuipatia majibu. Tukio la Yoshua kusimamisha jua limewashangaza wanasayansi hadi nyakati za leo. Mwanzoni mwa miaka ya 70 wanasayansi walijaribu kurudisha muda nyuma kwa kompyuta kuona kama kweli wangekuta takribani siku moja imepotea kama ilivyorekodiwa katika Biblia. Cha kushangaza, cha kushangaza mno, walikuta saa 23 na dakika 20 zimepotea katika mazingira ambayo hawakuweza na hawataweza kuyaelewa. Walipochunguza vizuri walikuta ni kipindi cha miaka ya 1500 KK (Jumanne tarehe 22 Julai) ambacho ndicho tukio la Yoshua la kusimamisha jua na kusogeza mwezi nyuma digrii 10, ambazo ni sawa na mzunguko wa dakika 40, lilipotokea. Kwa kutumia elimu ya wendo, elimu ya kupanga miaka na matukio ya Kibiblia, dunia iliumbwa Jumapili tarehe 22 Septemba mwaka 4000 KK. Hata hivyo, mahesabu ya kalenda yanaonyesha kuwa Septemba 22 ilikuwa Jumatatu (si Jumapili) na kwamba kosa hilo labda lilisababishwa na siku ya Yoshua iliyopotea. Hayo yote ni kwa mujibu wa Profesa C. A. Totten, wa Chuo Kikuu cha Yale, katika kitabu chake cha ‘Joshua’s Long Day and the Dial of Ahaz: A Scientific Vindication and a Midnight Cry’ kilichochapishwa mwaka 1890. Kama hakuna Mungu iliwezekanaje Yoshua aombe jua lisimame na jua likasimama kweli? Iliwezekanaje Yesu aseme atakufa, atafufuka na atapaa kwenda mbinguni na kweli ikatokea kama alivyosema? Ndani ya Biblia kuna tabiri 333 zilizotabiri maisha yote ya Yesu Kristo hapa duniani na zote zilitimia – bila kupungua hata moja. Utasemaje hapo hakuna Mungu? Mungu yupo, naamini, sijui. Tukio la Yesu kufa, kufufuka na kupaa kwenda mbinguni si la vitabu vitakatifu pekee, hata sayansi inakubaliana na hilo.”

“It is in the nature of the human mind to give in, and hold on, to the source of solace with all the might it can muster. Life is hard and any figure that tends to ease the subjective perception of that hardship, attains a high pedestal of utmost reverence in the realm of the individual mind. It all takes place at a molecular level in the human brain with the purpose of self-preservation.”

“Human Helpline (The Sonnet) Neither Christ, nor Krishna, nor Superman, No imagination can rescue humanity. Each of us is the only helpline, Human salvation is human responsibility. Enough with these prayer and rituals, Now awake from the sleep of subjugation. As heroes fraught with reason and conscience, We must rise to break all submission. Progress demands a life of revolution, Self-induced slavery won't do. The more you seek a savior outside, The more you turn into boneless goo. Of all life on earth the human being is peerless. Only those called sapiens roar for the helpless.”

“No messiah is coming to save us or our world, it is us who have to save ourselves as well as our world. We are our own responsibility - our world is our responsibility - our people are our responsibility. And anybody who takes the responsibility of their society on their shoulder, is a patriot - such a person is the real Christ, real Buddha, real Naskar of their time.”

“No god is coming to save you - no messiah is coming to save you - all the gods and all the messiahs that can save our world are already here - they are us - each one of us - so, open your eyes o mighty lords of time, and cleanse this world of all barbarian impurities, with the force of your bold, brave and humane actions.”

“Whenever there is an uprising of misery, discrimination and sectarianism - whenever there is an upheaval in human dignity, goodness, unity and uniformity - whenever the primitive urge for judgement overwhelms the humane quality of understanding - whenever the light of truth begins to scare the people more than the darkness of ignorance, and whenever humankind begins to forget its innate humanity, I shall rise from the deepest fathoms of the neuronal galaxy in one brain or another, over and over again, to take humanity with me in the path of sweet, innocent, self-aware, non-conflicting and progressive harmony.”

“God, deities and prophets thrive on obscurity, and it does not necessarily have to be material obscurity, often it is intellectual, as well as spiritual obscurity. When humanity is bold, intellectual, spiritual and conscientious enough, it will become its own strength - it will become its own solace - it will become its own savior.”

“Oh, sure, one can overdo it, and our history is darkly stained with abortive religious movements inspired by messianic crackpots. But it appears to be a continuum: too much and you end up in the realm of a Jim Jones, David Koresh, or Charles Manson, all of whom were able to lead others into a maelstrom of paranoid delusion. In the cases of Jones and Koresh, one can only do armchair forensic psychiatry to try to guess their afflictions, but Manson, alive and well, is a diagnosed schizophrenic. However, if you get the metamagical thoughts and behaviors to the right extent and at the right time and place, then people might just get the day off from work on your birthday for a long time to come.”

“It takes the trust of God for things that exist, to wait on him for the evidence of things that do not exist. Faith and hope make you to thank God for the invisible things by looking at the visible things which were once invisible too.”

“Your only obligation in any lifetime is to be true to yourself. Being true to anyone else or anything else is not only impossible, but the mark of a fake messiah. The simplest questions are the most profound. Where were you born? Where is your home? Where are you going? What are you doing? Think about these once in awhile and watch your answers change.”

“Chosen by Choice (The Sonnet) Choose yourself by yourself, Be the chosen by choice. Nobody's gonna come to choose you, Without any self-interest. Nobody's gonna pop out of fiction, And choose you to lift the world. The world is your family, You are their self-determined vanguard You are the chooser, you are the choice, You alone are the divine intervention. One who is responsible is also divine, What is indifferent is simply damnation. Choose yourself as the world's defender. There's no greater defender than an unbent lover.”

“Kilio kikuu cha Yesu, “Eloi, Eloi, lama sabakthani?”, yaani, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”, na “Imekwisha”, vilitabiriwa katika Zaburi 22 ili watu waliompinga Kristo waamini kama Yesu alikuwa Masihi. Zaburi 22 ulikuwa wimbo maarufu katika kipindi cha karne ya kwanza, kipindi ambacho Yesu alizaliwa na kufa, uliotungwa na mfalme Daudi, ulioitwa ‘zaburi ya mateso na matumaini ya mwadilifu’. Kwa hiyo Yesu aliposema maneno hayo yaliwaingia watu akilini, na kuanzia hapo imani hasa ya Ukristo ikachukua kasi hadi leo hii. Zaburi 22 inaanza na “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?” na inaisha na “Imekwisha”, miongoni mwa maneno saba aliyoyasema Yesu pale msalabani Golgotha. Kwa hiyo, Zaburi 22 ni utabiri wa kifo cha Yesu.”

“In this messianic vision, machine intelligence will come to redeem the universe of its incalculable stupidity. He takes a goal-oriented approach to cosmology, imposing upon the universe itself a kind of corporate project-management structure, composed of a series of key deliverables across deep time.”

“Gods by The Hundreds (The Sonnet) Some people fear christ, Some claim to hear christ. I work restless day and night, To raise the living christs. Some people fear god, Some claim to be prophets. I work without sleep and rest, To raise gods by the hundreds. One week of my life produces enough electricity, To power a 100 years of humanitarian endeavor. One life laid down to lift up the society, Triggers a wildfire of sacrificial fervor. I am but an instrument in the making of legends. I am but a matchstick to light up the sapiens.”

“Superheroes are supposedly great beings who rise to help humanity through its darkest hours. Who needs these preposterous figures? They are just the continuation of messianism by other means. Humanity needs to help itself and stop looking to fantasy beings to help it out. You will never resolve your problems while you are expecting a deus ex machina to bail you out.”

“No God, no messiah, no prophet can grant your wishes – it is only through your own efforts that you can make your wishes come true – it is only you who can grant your own wishes.”

“I argue that the Jesus of the Gospels is essentially a myth. The Gospels are largely fiction. They were created around the turn of the first and second century in order to give concreteness and substance to the Jesus who, as the Messiah, had appeared to Paul and his fellow apostles in ecstatic visions.”

“Young scholars, learning their historical method from Gospel scholars, often treat it as self-evident that the more skeptical they are toward their sources, the more rigorous will be their historical method. It has to be said, over and over, that historical rigor does not consist in fundamental skepticism toward historical testimony but in fundamental trust along with testing by critical questioning…”

“Hero Worship (The Sonnet) We used to worship the sun and the moon, We used to worship stones and trees. Then reason grew stronger along with imagination, So our worship shifted from elements to entities. Some of them were real and some fully fictitious, We just needed an excuse to externalize our divinity. Even today we keep inventing fictitious characters, Despite knowing they are fiction we pledge our loyalty. It seems like we are always holding out for a hero, Outside our very own everyday, ordinary psyche. Fiction is healthy so long as we grow no dependency, Real heroes are just humans standing unbent on duty. Enough with worship of fiction from comics and scriptures! It's time to be the hero and take the world on our shoulders.”

“Milkyway Messiah Sonnet (Simplified Version) Whenever humanity degrades into inhumanity, Whenever the oppressed cry out for a little dignity, Whenever political animals come and sell hate, Whenever morons 'n their yes men ruin harmony, Whenever some cavemen fly the flag of tribalism, Whenever love of luxury undermines accountability, Whenever gentleness is overpowered by greed, Whenever megalomania tramples heart's humility, Whenever goodness is patronized by cold smartness, Whenever compassion is vilified by indifference, Whenever selfishness is accepted as norm and sanity, Whenever accountability is deemed as an offence, Embracing affliction, from the dust 'n dirt of soil 'n street, You the Milkyway Messiah is to rise as the sentient shield.”