Quotessence
Home / Topics / Epoch Quotes

Epoch Quotes

Browse 183 quotes about Epoch.

Related topics

Epoch Quotes

“First, anyone who seriously intends to become a philosopher must "once in his life" withdraw into himself and attempt, within himself, to overthrow and build anew all the sciences that, up to then, he has been accepting. Philosophy wisdom (sagesse) is the philosophizer's quite personal affair. It must arise as His wisdom, as his self-acquired knowledge tending toward universality, a knowledge for which he can answer from the beginning, and at each step, by virtue of his own absolute insights.”

“Kuna mambo yanatokea hapa ulimwenguni ambayo yanafanya nikiri uwepo wa Mungu kwa asilimia kubwa. Wanasayansi wanasema ulimwengu ulianzishwa na mlipuko wa ‘Big Bang’, uliotokea takribani miaka bilioni 14 iliyopita, kutoka katika kitu kidogo zaidi kuliko ncha ya sindano, lakini hawatuambii nini kilisababisha mlipuko huo utokee au hicho kitu kidogo kuliko ncha ya sindano kilitoka au kilikuwa wapi. Wanaendelea kusema kuwa baada ya ‘Big Bang’ kutakuwepo na ‘Big Crunch’, ambapo ulimwengu utarudia hali yake ya awali ya udogo kuliko ncha ya sindano, na kila kitu kinachoonekana leo ulimwenguni hakitaonekana tena. Hapo sasa ndipo utata unapokuja. Mlipuko wa ‘Big Bang’ ulipotokea ulimwengu ulilipuka na kusambaa pande zote nne za ulimwengu kwa mwendokasi wa zaidi ya kilometa milioni 2 kwa saa, mpaka hivi leo unavyoonekana na bado unaendelea kusambaa. Kutokana na dhana ya ‘Big Crunch’, wanasayansi wanaamini ulimwengu utapanuka ila baadaye utapungua mwendo na utarudi mwanzo kabisa mahali ulipolipukia. Lakini mwaka 1995 wanasayansi hao hao waligundua kitu. Ulimwengu – badala ya kupungua mwendo wa kupanuka kama wanasayansi walivyokuwa wakitabiri – sasa unaongeza mwendo, tena kwa mwendokasi ambao haujawahi kutokea. Hiki ni nini kinachosababisha ulimwengu uongeze mwendokasi kiasi hicho badala ya kuupunguza? Hicho ni nini ambacho ulimwengu unapanukia? Wanasayansi hawana jibu. Wanasingizia kitu kinaitwa ‘dark matter’, maada ambayo haijawahi kuonekana, kwamba ndicho kinachosababisha ulimwengu uongeze mwendokasi kwa kiwango hicho ambacho hakijawahi kutokea; na hicho ambacho ulimwengu unapanukia wanahisi ulimwengu wetu unapanukia katika ulimwengu mwingine, kwa mujibu wa dhana nyingine kabisa iitwayo ‘multiverse’ au ‘meta-universe’. Kuna kitu kinaitwa ‘Higgs boson’ – chembe ndogo inayosemekana kuhusika na uzito (‘mass’) wa chembe ndogo 16 zilizomo ndani ya atomu, kasoro chembe ya mwanga, iliyopotea mara tu baada ya mlipuko wa ulimwengu wa ‘Big Bang’ miaka bilioni 13.7 iliyopita katika kipindi kilichoitwa ‘epoch’ – ambayo ilianza kutafutwa katika maabara za CERN, Uswisi, toka mwaka 1964, maabara ambazo kazi yake kubwa ni kutengeneza mazingira ya mwanzo kabisa ya mlipuko wa ‘Big Bang’, kusudi wanasayansi waone kama wanaweza kubahatisha kuiona na kuidhibiti hiyo bosoni. Bosoni itakapopatikana wanasayansi watajua siri ya ‘dark matter’, watajua jinsi ulimwengu unavyofanya kazi na jinsi ulivyoumbwa na jibu la kitendawili cha ‘Standard Model’ litapatikana. Hiyo ni kazi ngumu. Ndiyo maana ‘Higgs boson’ mwaka 1993 iliitwa ‘The God Particle’. Yaani, wanasayansi wanahisi kuna muujiza wa Kimungu na huenda wasiipate kabisa hiyo bosoni. Wanasema waliipata mwaka 2013. Lakini hiyo waliyoipata bado ina utata. Kutokana na kushindwa huko kwa sayansi na historia, kutokana na kushindwa kwa sayansi kutengeneza binadamu au mnyama, kutokana na miujiza iliyorekodiwa katika vitabu vitakatifu; naamini, Mungu yupo.”

“Wanasayansi wana uwezo wa kupeleleza hadi kipindi cha karne ya kwanza ambapo Yesu aliishi, alikufa, alifufuka na alipaa kwenda mbinguni, na wana uwezo wa kujua mambo mengi kwa hakika yaliyofanyika katika kipindi hicho na hata katika kipindi cha kabla ya hapo. Kuna miujiza ambayo Yesu aliifanya ambayo haiko ndani ya Biblia. Kwa mfano, Biblia inasema Yesu alizaliwa ndani ya zizi la ng’ombe wakati sayansi inasema alizaliwa nje ya zizi la ng’ombe; na muujiza wa kwanza kuufanya ambao hauko ndani ya Biblia ni kutembea mara tu baada ya kuzaliwa, na watu na ndege wa angani kuganda kabla ya kuzaliwa Masihi na kabla ya wakunga kufika kumsaidia Maria Magdalena kujifungua. Akiwa na umri wa miaka sita, sayansi inasema, Yesu alikuwa akicheza na mtoto mwenzake juu ya paa la nyumba ya jirani na mara Yesu akamsukuma mwenzake kutoka juu hadi chini na mwenzake huyo akafariki papo hapo. Watu walipomsonga sana Yesu kwa kumtuhumu kuwa yeye ndiye aliyesababisha kifo cha mwenzake, na kwamba wangemfungulia mashtaka, Yesu alikataa katakata kuhusika na kifo hicho. Lakini walipozidi kumsonga, aliusogelea mwili wa rafiki yake kisha akamwita na kumwambia asimame. Yule mtoto alisimama! Huo ukawa muujiza mkubwa wa kwanza wa Yesu Kristo, kufufua mtu nje ya maandiko matakatifu. Kuna mifano mingi inayodhihirisha uwepo wa Mungu ambayo wanasayansi hawawezi hata kuipatia majibu. Tukio la Yoshua kusimamisha jua limewashangaza wanasayansi hadi nyakati za leo. Mwanzoni mwa miaka ya 70 wanasayansi walijaribu kurudisha muda nyuma kwa kompyuta kuona kama kweli wangekuta takribani siku moja imepotea kama ilivyorekodiwa katika Biblia. Cha kushangaza, cha kushangaza mno, walikuta saa 23 na dakika 20 zimepotea katika mazingira ambayo hawakuweza na hawataweza kuyaelewa. Walipochunguza vizuri walikuta ni kipindi cha miaka ya 1500 KK (Jumanne tarehe 22 Julai) ambacho ndicho tukio la Yoshua la kusimamisha jua na kusogeza mwezi nyuma digrii 10, ambazo ni sawa na mzunguko wa dakika 40, lilipotokea. Kwa kutumia elimu ya wendo, elimu ya kupanga miaka na matukio ya Kibiblia, dunia iliumbwa Jumapili tarehe 22 Septemba mwaka 4000 KK. Hata hivyo, mahesabu ya kalenda yanaonyesha kuwa Septemba 22 ilikuwa Jumatatu (si Jumapili) na kwamba kosa hilo labda lilisababishwa na siku ya Yoshua iliyopotea. Hayo yote ni kwa mujibu wa Profesa C. A. Totten, wa Chuo Kikuu cha Yale, katika kitabu chake cha ‘Joshua’s Long Day and the Dial of Ahaz: A Scientific Vindication and a Midnight Cry’ kilichochapishwa mwaka 1890. Kama hakuna Mungu iliwezekanaje Yoshua aombe jua lisimame na jua likasimama kweli? Iliwezekanaje Yesu aseme atakufa, atafufuka na atapaa kwenda mbinguni na kweli ikatokea kama alivyosema? Ndani ya Biblia kuna tabiri 333 zilizotabiri maisha yote ya Yesu Kristo hapa duniani na zote zilitimia – bila kupungua hata moja. Utasemaje hapo hakuna Mungu? Mungu yupo, naamini, sijui. Tukio la Yesu kufa, kufufuka na kupaa kwenda mbinguni si la vitabu vitakatifu pekee, hata sayansi inakubaliana na hilo.”

“The world is changing rapidly, and everyone changes along with the world. Discoveries is now becoming rampant; intellectually, technologically,etc, each having its advantage and disadvantage.”

“The bourgeoisie cannot exist without constantly revolutionizing the instruments of production, and thereby the relations of production, and with them the whole relations of society. Conservation of the old modes of production in unaltered forms, was, on the contrary, the first condition of existence for all earlier industrial classes. Constant revolutionizing of production, uninterrupted disturbance of all social conditions, everlasting uncertainty and agitation, distinguish the bourgeois epoch from all earlier ones. All fixed, fast-frozen relations, with their train of ancient and venerable prejudices and opinions, are swept away; all new-formed ones become antiquated before they can ossify. All that is solid melts into air, all that is holy is profaned, and man is at last compelled to face with sober senses his real conditions of life and his relations with his kind.”

“[The cosmic impact that started the Younger Dryas] marked the end of their story, and the end of an epoch, really. There's not a single Clovis point found anywhere in North America that's above that black mat. They're all in it or below it. And there's not a single mammoth skeleton anywhere in North America that's above it. A huge part of the die-off could have been as a direct result of the impacts themselves, but impacts and airbursts south of the ice cap, particularly as far south as New Mexico, would also have set off wildfires. There's overwhelming evidence that gigantic wildfires raged at the onset of the Younger Dryas--in fact, more soot has been found at the Younger Dryas Boundary than at the Cretaceous-Paleogene Boundary. We did the calculations and it looks like as much as 25 percent of the edible biomass and around 9 percent of the total biomass of the planet was on fire and destroyed within days or weeks of the YDB. So in many areas if the animals weren't killed outright they wouldn't have been able to forage enough food afterwards to survive. The grass would have burned up, leaves on trees were gone. ... And you know, the other thing is that when comet fragments come in they're traveling incredibly fast and they literally punch a hole in the atmosphere. They actually push the air aside and they bring in that super cold from space, and when they explode in the air that cold plume continues to the ground and you literally have things frozen in place if they were close enough to where the plume came down. It's possible they were fried and then frozen all within a matter of seconds.”

“Professor Napier and his colleague Victor Clube, formerly dean of the Astrophysics Department at Oxford University, go so far as to describe the 'unique complex of debris' within the Taurid stream as 'the greatest collision hazard facing the earth at the present time.' Coordination of their findings with those of Allen West, Jim Kennett, and Richard Firestone, as led both teams--the geophysicists and the astronomers--to conclude that it was very likely objects from the then much younger Taurid meteor stream that hit the earth around 12,800 years ago and caused the onset of the Younger Dryas. These objects, orders of magnitude larger than the one that exploded over Tunguska, contained extraterrestrial platinum, and what the evidence from the Greenland ice cores seems to indicate is an epoch of 21 years in which the earth was hit every year, with the bombardments increasing annually in intensity until the fourteenth year, when they peaked and then began to decline before ceasing in the twenty-first year.”

“The history of the Roman Empire is also the history of the uprising of the Empire of the Masses, who absorb and annul the directing minorities and put themselves in their place. Then, also, is produced the phenomenon of agglomeration, of "the full." For that reason, as Spengler has very well observed, it was necessary, just as in our day, to construct enormous buildings. The epoch of the masses is the epoch of the colossal.”

“The nineteenth century, utilitarian throughout, set up a utilitarian interpretation of the phenomenon of life which has come down to us and may still be considered as the commonplace of everyday thinking. ... An innate blindness seems to have closed the eyes of this epoch to all but those facts which show life as a phenomenon of utility”

“England has to fulfill a double mission in India: one destructive, the other regenerating - the annihilation of old Asiatic society, and the laying the material foundations of Western society in Asia... When a great social revolution shall have mastered the results of the bourgeois epoch... and subjected them to the common control of the most advanced peoples, then only will human progress cease to resemble that hideous, pagan idol, who would not drink the nectar but from the skulls of the slain.”

“Constant revolutionizing of production, uninterrupted disturbance of all social conditions, everlasting uncertainty and agitation distinguish the bourgeosis epoch from all earlier ones.”

“Every style seems completely appropriate to its epoch. We cannot imagine Madame de Pompadour, or the Empress Josephine, or the early Victorian lady in anything but the clothes she actually wore. Each represents completely the ideals of her time: elegant artificiality or post-Revolutionary morals, or the prudery of the rising middle class.”

“The epoch of doubt and transition during which the Greeks passed from the dim fancies of mythology to the fierce light of science was the age of Pericles, and the endeavour to substitute certain truth for the prescriptions of impaired authorities, which was then beginning to absorb the energies of the Greek intellect, is the grandest movement in the profane annals of mankind, for to it we owe, even after the immeasurable progress accomplished by Christianity, much of our philosophy and far the better part of the political knowledge we possess.”

“Innumerable conditions must be exquisitely optimized for the support of humanity and of civilization. Many of them are highly time variable. Evidence showing that a wide variety of independent conditions all reached optimality during the identical narrow epoch when human beings appeared on the cosmic and terrestrial scene testifies of supernatural design and purpose rather than mere coincidence.”

“Seldom can two such epoch-making events have occurred in successive years as happened then. In 1453 the Turks stormed Constantinople and finally destroyed the Greek Empire, driving out Greek scholars, who carried the knowledge of Greek language and literature to the western world; and in 1454 the first document known to us appeared from the printing press at Mainz.”

“The epoch of individuality is concluded, and it is the duty of reformers to initiate the epoch of association. Collective man is omnipotent upon the earth he treads.”

“On that night I was left with only the truth that nothing of our personality survives after death, that in the end all that was Misha Vainberg would evaporate along with the styles and delusions of his epoch, leaving behind not one flutter of his sad heavy brilliance, not one damp spot around which his successors could congregate to appreciate his life and times.”

“The immediate success of the war poem anthologies ... proved that the war had aroused in a new public an ear for contemporary verse ... There has never before, in the world's history, been an epoch which has tolerated and even welcomed such a flood of verse as has been poured forth over Great Britain during the last three years.”

“I know that there are many persons to whom it seems derogatory to link a body of philosophic ideas to the social life and cultureof their epoch. They seem to accept a dogma of immaculate conception of philosophical systems.”

“There is one great fact, characteristic of this our nineteenth century, a fact which no party dares deny. On the one hand, there have started into life industrial and scientific forces which no epoch of former human history had ever suspected. On the other hand, there exist symptoms of decay, far surpassing the horrors recorded of the latter times of the Roman empire. In our days everything seems pregnant with its contrary.”

“Free from public debt, at peace with all the world, and with no complicated interests to consult in our intercourse with foreign powers, the present may be hailed as the epoch in our history the most favorable for the settlement of those principles in our domestic policy which shall be best calculated to give stability to our Republic and secure the blessings of freedom to our citizens.”

“Every epoch which seeks renewal first projects its ideal into a human form. In order to comprehend its own essence tangibly, the spirit of the time chooses a human being as its prototype and raising this single individual, often one upon whom it has chanced to come, far beyond his measure, the spirit enthuses itself for its own enthusiasm.”

“The sceptics end in the infidelity which asserts the problem to be insoluble, or in the atheism which denies the existence of any orderly progress and governance of things: the men of genius propound solutions which grow into systems of Theology or of Philosophy, or veiled in musical language which suggests more than it asserts, take the shape of the Poetry of an epoch.”