“Mungu angekuwa anababaishwa na mwili asingeruhusu Shetani autese mwili wa Ayubu kiasi chote kile isipokuwa roho yake, wala tusingekuwa tunateseka, wala watoto wadogo wasingekuwa wanakufa, wala watu wasiokuwa na hatia wasingekuwa wanakufa vitani au katika majanga mengine yoyote yale katika dunia hii.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: La edad de oro
Source: The Domino Diaries: My Decade Boxing with Olympic Champions and Chasing Hemingway's Ghost in the Last Days of Castro's Cuba
“Havana vanities come to dust in Miami.”
Source: Miami
Source: Our man in Havana