“Uzima wa milele si mchezo wa kubahatisha! Kila mtu atalipwa kulingana na matendo yake, mema au mabaya, na huo uzima wa milele atapewa yule atakayetenda mema maisha yake yote.” LifeActionsEternal LifeLotteryMaishaGood Or EvilMatendoMema Au MabayaUzima Wa MileleMchezo Wa Kubahatisha Author:Enock Maregesi
“Kikwazo kikubwa cha kwenda mbinguni ni kifo. Kikwazo kikubwa cha kwenda ahera ni uzima wa milele. Kikwazo kikubwa cha kwenda mbinguni ni Shetani. Kikwazo kikubwa cha kwenda ahera ni Yesu Kristo. Yesu Kristo ni njia iliyo huru ya kwenda mbinguni. Shetani ni njia iliyo huru ya kwenda ahera.” WayDeathHeavenHellJesus ChristSatanShetaniEverlasting LifeYesu KristoBarrierKifoMbinguniNjiaAheraKikwazoUzima Wa MileleFree WayNjia Huru Author:Enock Maregesi