Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Shetani alikuwa malaika aliyeumbwa na Mungu lakini baadaye akamwonea Mungu wivu, wivu wa madaraka, hivyo Mungu akamtupa duniani kwa sababu ya kupingana na utawala wake mtakatifu. Duniani Shetani akamtumia nyoka kama mdakale kumdanganya Hawa. Hawa na Adamu wakamsikiliza Shetani badala ya kumsikiliza Mungu, nao wakalaaniwa. Shetani akajidai kuwa alikuwa na uwezo wa kufanya uzao wote wa Adamu na Hawa uwe mbali na Mungu, hivyo Mungu akampa muda wa kujaribu na kuthibitisha madai yake, lakini Shetani mpaka leo bado hajafanikiwa. Wakiitawala dunia leo kwa udanganyifu wa hali ya juu, pamoja naye, ni baadhi ya malaika ambao Shetani alifanikiwa kuwalaghai huko mbinguni. Mungu akawalaani pia na kuwatupa huku duniani, ambako Shetani alipapenda zaidi.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“Here is to all the brilliant minds that love deeply, for they write the stories that make us dream of true love. Here is to all the visionaries that create a miracle when others give up hope. Here is to all the artists, musicians, actors, singers, songwriters, dancers, screenwriters, philosophers, inventors and poetic hearts that create a perspective of heaven we can experience in this lifetime. But most of all, here is to the wild souls that the world calls broken, insane, abnormal, weird or different because they are the ones that renew our faith, by what they overcome and create, in a world that needs a sign that God doesn’t forget the least of us.”

“I believe - I daily find it proved - that we can get nothing in this world worth keeping, not so much as a principle or a conviction, except out of purifying flame, or through strengthening peril. We err; we fall; we are humbled - then we walk more carefully. We greedily eat and drink poison out of the gilded cup of vice, or from the beggar's wallet of avarice; we are sickened, degraded; everything good in us rebels against us; our souls rise bitterly indignant against our bodies; there is a period of civil war; if the soul has strength, it conquers and rules thereafter.”