“Israeli ilifikia kikomo cha kipindi chake kikubwa cha mafanikio tangu enzi za Sulemani. Taifa lilikuwa tajiri. Lilikuwa na nguvu. Lilikuwa na silaha nyingi na nzuri zaidi. Lilikuwa taifa lililojidai kwa uwezo wake mkubwa wa nguvu za kijeshi, hekima, ujasiri, utajiri, na faida za kimkakati. Nani angeweza kushindana na Israeli? Lakini Mungu hunguruma onyo kwamba uwezo wote mkubwa wa asili wa taifa, ujuzi waliojipatia, na sifa bora zaidi havikuweza kulisaidia taifa la Israeli. Watu huona nguvu ya taifa katika utajiri wake, idadi yake ya watu, silaha za kijeshi, teknolojia, na maarifa. Lakini Mungu huangalia haki.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“It took me thirty years to find myself, I had little wealth, But I had my health”
“Let attitude be Your determination, go for success and not for money, because success is money”
Source: The Bombshell Business Woman: How to Become a Bold, Brave Female Entrepreneur
“Most people like to talk about themselves, so get them going and you’ll make new friends quickly!”
Source: The Bombshell Business Woman: How to Become a Bold, Brave Female Entrepreneur
Source: The Use and Misuse of Children
“Funny how money speaks even more loudly than morals in this beautiful, superficial material world.”
Source: Shadowbahn
“Sometimes an angel is found in the dark.”
Source: Alpha & Omega