Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Israeli ilifikia kikomo cha kipindi chake kikubwa cha mafanikio tangu enzi za Sulemani. Taifa lilikuwa tajiri. Lilikuwa na nguvu. Lilikuwa na silaha nyingi na nzuri zaidi. Lilikuwa taifa lililojidai kwa uwezo wake mkubwa wa nguvu za kijeshi, hekima, ujasiri, utajiri, na faida za kimkakati. Nani angeweza kushindana na Israeli? Lakini Mungu hunguruma onyo kwamba uwezo wote mkubwa wa asili wa taifa, ujuzi waliojipatia, na sifa bora zaidi havikuweza kulisaidia taifa la Israeli. Watu huona nguvu ya taifa katika utajiri wake, idadi yake ya watu, silaha za kijeshi, teknolojia, na maarifa. Lakini Mungu huangalia haki.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“For their never-ending endeavours to obtain or retain wealth, countries desperately need companies, because they—unlike most human beings—have the means of production, and human beings, because they—unlike all companies—have the means of reproduction.”

“Like all Americans, or like all Americans who are conscious of being American, Parker and Zema's father always believed he was his country. But lately he's come to realize that if he and his family didn't emerge unscathed from their American crisis, American faith in the early part of the twenty-first century didn't emerge at all. By the conclusion of the new century's first score of years, only those who have a stake in an American idea defined by wealth and power can still speak of that idea so shamelessly, since wealth and power is the only American idea left.”