“Kiongozi kwa sababu ya haki akibarikiwa na Mungu, hata watu anaowaongoza watabarikiwa na Mungu pia. Lakini kama kiongozi amelaaniwa na Mungu kwa sababu ya uovu, hata watu anaowaongoza watalaaniwa pia.” PeopleGodEvilLeaderRightMunguWatuKiongoziHakiUovu Author:Enock Maregesi
“Kama nje ya uwezo wa kisheria ni uovu, hivyo basi, ndani ya uwezo wa kisheria ni wema. Kila mtu amepewa vipaji na Mwenyezi Mungu. Tumia vipaji vyako kutenda mema. Usitumie vipaji vyako kutenda maovu.” LawEvilLimitsGoodGood DeedsTalentsBeyondUwezoMemaSheriaVipajiNjeWemaEvil DeedsUovuMaovu Author:Enock Maregesi