Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Mfundishe mtoto wako maadili mema kwa miaka kumi na tatu, katika umri wa miaka kumi na tatu fikra za mtoto huanza kuwa na maono na utambuzi wa vitu mbalimbali na watoto katika umri huo wanao uwezo wa kuchambua dhana kadha wa kadha za kinadharia na hali kadhalika wanao uwezo wa kuchambua nadharia tata zisizokuwa na hakika na hata zile zenye hakika zisizokuwa tata, kabla hujamkabidhi kwa dunia. Ukimkabidhi mtoto wako kwa dunia kabla ya umri wa miaka kumi na tatu, kama vile kumpeleka katika shule ya bweni au kumpeleka akalelewe na watu wengine ambao si wazazi wake, yale ambayo hukumfundisha atafundishwa na ulimwengu. Mpeleke mtoto wako katika shule ya bweni au kuishi na watu wengine akiwa amefundishwa maadili mema. Kinyume cha hapo atafundishwa na shule au watu wengine kwa kudharauliwa, kuchukiwa na kuadabishwa.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“The elasticity of our dreams can take us to unspoken worlds, but our innate horror of the unknown is what weighs us down. Fight it. Travel to the isolated coils of smoldering dust trapped in our dusky sky or explore the unseen timeless vibration of dancing particles that fashions existence. Whatever choice you make can change your life forever. The same applies to a story. Words are the atoms of a tale, and together they compose a universe.”

“In the quantum multiverse all eventualities are possible. Which means, paradoxically, that all eventualities are inevitable. They have also quite possibly already happened. Make of that what you will, not that your will has much to do with it. Because here's the thing. If you believe that consciousness is an accumulation of memory; if you believe that you often know what's going to occur either through some animal instict or a human subscription to fate, then you are a walking and talking embodiment of everything happening all at once.”