“Mfundishe mtoto wako maadili mema kwa miaka kumi na tatu, katika umri wa miaka kumi na tatu fikra za mtoto huanza kuwa na maono na utambuzi wa vitu mbalimbali na watoto katika umri huo wanao uwezo wa kuchambua dhana kadha wa kadha za kinadharia na hali kadhalika wanao uwezo wa kuchambua nadharia tata zisizokuwa na hakika na hata zile zenye hakika zisizokuwa tata, kabla hujamkabidhi kwa dunia. Ukimkabidhi mtoto wako kwa dunia kabla ya umri wa miaka kumi na tatu, kama vile kumpeleka katika shule ya bweni au kumpeleka akalelewe na watu wengine ambao si wazazi wake, yale ambayo hukumfundisha atafundishwa na ulimwengu. Mpeleke mtoto wako katika shule ya bweni au kuishi na watu wengine akiwa amefundishwa maadili mema. Kinyume cha hapo atafundishwa na shule au watu wengine kwa kudharauliwa, kuchukiwa na kuadabishwa.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: A Manual for Victory
“There are some mysteries of the universe that ought to remain mysteries.”
“I could be the ceaseless mist that fogs your colourless eyes when you're lost in your universes.”
“Everything is different and nothing is same in the universe.”
Source: HUMANITY Understanding Reality and Inquiring Good
“I witness that I’m out of alignment with my power. I choose to see peace instead of this.”
Source: The Universe Has Your Back: Transform Fear to Faith
“the conscience of universe itself lies in the path of equality and so is the gods”