Quotessence
Home / Topics / Area 51 Quotes

Area 51 Quotes

Browse 12 quotes about Area 51.

Area 51 Quotes

“Mnamo mwaka 1957 Rais David Eisenhower wa Marekani (inasemekana) alipewa taarifa usiku mmoja akiwa Washington, D.C., kuhusu chombo cha ajabu kilichoanguka kwenye jangwa la Nevada huko Marekani. Ndani ya chombo kile kulikuwa na ‘aliens’ wawili, nao waliomba kuonana na Eisenhower kuhusu ujumbe waliokuja nao kutoka katika ulimwengu wao. Bila kuchelewa, Eisenhower alipanda ndege usiku huohuo mpaka Texas. Huko alichukua gari hadi kwenye eneo la kijeshi liitwalo Area 51, ambapo ndipo ule ujumbe wa ulimwengu mwingine ulipokuwa umeshikiliwa. Mkutano wa aina yake ulifanyika chini ya ardhi, kati ya Rais Eisenhower na hao viumbe wawili wa anga za mbali, chini ya tafsiri ya wanasayansi wa NASA. Walichotaka ni urafiki na dunia yetu, inayogombewa na dunia nyingi za ‘aliens’, kwa mbadala wa teknolojia kadha wa kadha ambazo sisi hatukuwa nazo. Pande zote mbili zilifikia maafikiano, wao wakitupa teknolojia, sisi tukiwapa uwezo wa kufanya majaribio ya kisayansi kwa binadamu wa dunia nzima. Hivyo kuanzia hapo ‘aliens’ wakawa na uhalali wa kuteka watu katika mazingira ya kutatanisha na kuingilia watu usiku wakiwa wamelala, katika tukio la kiulimwengu wa roho lijulikanalo kama ‘sleep paralysis’. ‘Sleep Paralysis’ ni tukio la ajabu. Mtu anapokuwa amelala mwili wake huonekana kufa ganzi, kiasi kwamba anajihisi hawezi hata kunyanyua mkono. Aghalabu hali hiyo inapotokea maana yake ni kwamba ‘aliens’ wanamchukua huyo mtu, kupitia kwenye paa la nyumba aliyolala, hadi mawinguni katika ndege yao. Ndani ya ndege wanaulaza mwili wa binadamu juu ya kitanda cha upasuaji, na kumfanyia upasuaji, ili kusoma biolojia iliyotumika kuumba wanadamu na kujua kwa nini sisi tuko tofauti na wao. Baada ya hapo wanamrudisha huyo mtu kitandani kwake, ambapo atalala usingizi wa kawaida hadi asubuhi. Atakapoamka hatajua kama alifanyiwa upasuaji. Wapo mamilioni ya watu duniani waliolalamika kutokewa na ‘aliens’, lakini serikali haziwahi kuilithibitisha hilo. Inavyosemekana, teknolojia za ‘aliens’ zinahifadhiwa na Jeshi la Marekani (Pentagon) na shirika la kijasusi la MAJI au MJ12. MJ12 ni watu 12 hatari zaidi duniani, wakiongozwa na mkurugenzi mkuu wa CIA (anayejulikana kama MJ1).”

“Blacker than the night, the wedge penetrated the darkness. An F 117 raced by, the roar from its engines screaming through the interior of the chopper, and then it sliced away a piece of sky and disappeared into the void. -Narrator, Truth Insurrected: The Saint Mary Project”

“If the anti-gravity flying machines witnessed by so many in and around Area 51’s airspace are manmade then that confirms the Splinter Civilization are almost light years ahead of known science – and they have technologies the common man could scarcely comprehend. If on the other hand UFO’s are of alien origin, that implies the global elite are collaborating with an ET civilization – and this may explain why classified technology has progressed at such a rapid rate since around the time of Roswell.”

“The late nuclear physicist Stanton Friedman, one of the best known and most respected UFO investigators, became the highest profile Lazar debunker, and although he often told his audiences that he was done with the case, he continued to write and speak about Lazar right up until his death in 2019. Bob Lazar became Friedman’s white whale. Stan was a friend of mine and I greatly respected his decades of work on the UFO subject, but he had a blind spot when it came to Lazar.”

“Physicists study the vast number of stars, examining equations and mathematical odds, and say there must be something else out there like us. Biologists look down at our own planet, at all the specific things that occurred for evolution to work, and say, ‘not likely.’ It’s not a math equation, but if it were, the sheer odds of other sentient life even remotely like us are incalculable—even in the vastness of outer space.”