“Ukiona kitu ambacho hukupaswa kuona, au ukisikia kitu ambacho hukupaswa kusikia, fumba macho kwa kuyakodoa! Ulichokiona au kukisikia usikiseme leo na hata milele. Jifanye hukuona kitu, hukusikia kitu. Ukifumbua macho kwa kuyakodoa utapata matatizo, makubwa.” ProblemsEyesMachoThingEverOpen EyesMatatizoKituMileleClose EyesFumbua MachoFumba Macho Author:Enock Maregesi